Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza kutoa maelezo ya kuondoa marufuku ya kukaa nyumbani

Boris Johnson kuwafahamisha wabunge kuhusu mpango wake wa kuondoa marufuku ya kutotoka nje, ambao alitangaza Jumapili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje

Rais Donald Trump amedai kuwa anatumia nguvu zote ili kuhakikisha kuwa taifa kwa ujumla linajiondoa katika marufuku ya kutotoka nje kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, jambo ambalo linatofautiana na kile ambacho magavana na wataalamu wa sheria wamesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametoka kwenye chumba cha wagonjwa mahututi, ofisi yake imeeleza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi amri ya kukaa nyumbani ilivyoibua mjadala kwa wafanyakazi wa ndani India

Mwishoni mwa wiki, India iliongeza muda wa marufuku ya kutoka nje katika taifa zima kwa muda wa usiku kwa siku 40 nyingine lakini wafanyakazi wa ndani wanaweza kuwa wanarundi nyumbani kwao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotembelea mji mkuu wa Kenya yaongezwa

Marufuku ya kutotembelea mji mkuu wa Kenya Nairobi pamoja na miji mingine minne yaendelea

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi

Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ya kukaa mbali na mwenzako uwapo kazini

Virusi vya corona: Jinsi ya kukaa mbali na mwenzako uwapo kazini

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir

Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona

Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona

Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona yazua gumzo kali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani