Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametoka kwenye chumba cha wagonjwa mahututi, ofisi yake imeeleza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s72-c/we.jpg)
Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s640/we.jpg)
Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Boris Johnson amesema 'hali ingeweza kwenda mrama'
Waziri Mkuu amewashukuru manesi wawili waliomhudumia.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson akutwa na coronavirus
Bwana Johnson amekutwa na coronavirus, baada ya kufanyiwa vipimo, imesema ofisi yake Downing Street.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza kutoa maelezo ya kuondoa marufuku ya kukaa nyumbani
Boris Johnson kuwafahamisha wabunge kuhusu mpango wake wa kuondoa marufuku ya kutotoka nje, ambao alitangaza Jumapili.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200407_094558.jpg)
WAZIRI MKUU BORIS JOHNSON APELEKWA ICU
![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200407_094558.jpg)
Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati hali yake ya kiafya...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
Boris Johnson ahamishiwa chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuzorota zaidi .
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona: Rais Kenyatta asema hata yeye nia yake ni kufungua uchumi
Mwezi Machi 27, Kenya ilianza kutekeleza hatua ya kusalia ndani na baadae ikafuata na baadhi ya kaunti kufungiwa kabisa ikiwa ni miji ya Nairobi, Mombasa, kilifi na Kwale.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania