Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
Boris Johnson ahamishiwa chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kiafya kuzorota zaidi .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s72-c/we.jpg)
Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s640/we.jpg)
Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson akutwa na coronavirus
Bwana Johnson amekutwa na coronavirus, baada ya kufanyiwa vipimo, imesema ofisi yake Downing Street.
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
ICU ni wodi maalum inayotoa huduma kwa wagonjwa ambao wako katika hali mbaya na watafuatiliwa kwa karibu lakini chumba hiki kikoje?
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametoka kwenye chumba cha wagonjwa mahututi, ofisi yake imeeleza.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200407_094558.jpg)
WAZIRI MKUU BORIS JOHNSON APELEKWA ICU
![](https://1.bp.blogspot.com/-vuu08e6HQrY/Xowj2oZXexI/AAAAAAAC2mY/bh4xca_72u8BToVE3vxaJWZq5fZ6R86ugCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200407_094558.jpg)
Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati hali yake ya kiafya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.
Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini hospitali za Uhispania zimetangaza kuhudumia wagonjwa mahututi pekee?
Hospitali zimewataka wasio na dalili kali kurejea nyumbani ili ziweze kuwahudumia vikongwe
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OpEEdJwbltg/VMPyrYWZ_XI/AAAAAAADWXQ/_6QZRr7o4oE/s72-c/CHOKI34.jpg)
BANZA STONE YUKO 'MAHUTUTI' TUNDUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OpEEdJwbltg/VMPyrYWZ_XI/AAAAAAADWXQ/_6QZRr7o4oE/s1600/CHOKI34.jpg)
Kwanini Tunduma? Bendi yao ya Rungwe ilikuwa na ziara katika miji kadhaa ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania