MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
Mchezaji wa siku nyingi nchini Brazil na aliyeiwezesha Brazil kunyakua kombe la Dunua mara tatu amelazwa hospitali ya mjini Sao Paulo kwa maambukizi baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo ya mchezaji huyo.
Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.
Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s72-c/we.jpg)
Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
![](https://1.bp.blogspot.com/-BlnJTclJ1zo/XowU7EkS_jI/AAAAAAALmVU/Zq3aUoc8qSw7wlI_ssXuUQTZFvkzKh6-wCLcBGAsYHQ/s640/we.jpg)
Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Pele: Aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil anahisi aibu kutoka nyumbani kutokana na hali mbaya ya kiafya
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Makumbusho ya Pele kivutio Santos, Brazil
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Je wagonjwa mahututi wasaidiwe kufa?
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini hospitali za Uhispania zimetangaza kuhudumia wagonjwa mahututi pekee?