Pele: Aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil anahisi aibu kutoka nyumbani kutokana na hali mbaya ya kiafya
Bingwa mara tatu wa Kombe la dunia hataki kutoka nyumbani kutokana na hali yake ya afya iliodorora kulingana na mwanawe Edinho.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake
Pele, aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil amezungumza kwa mara ya kwanza tangu mwanawe alipodai afya yake huenda ikawa kizuizi cha kuwa nyumbani na kusema hali yake ya afya ni jambo la kawaida kwa mtu mwenye umri kama wake.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vboaxf8WFg0/VHdSEJ4JOJI/AAAAAAAC-Mw/fAqroWb3RZA/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-27%2Bat%2B4.31.55%2BPM.png)
Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.
Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KUTOKA BRAZIL 2014: Dakika 90 ni asilimia 20 tu za soka Brazil
>Unapofungua televisheni yako na kufaidi dakika 90 za soka za Kombe la Dunia ujue kuwa unafaidi asilimia 20 tu ya mchezo wenyewe. Asilimia 80 ya mchezo huo zipo nje ya uwanja.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L2TXaMzu9JQ/VTXN99s2LII/AAAAAAAHSLM/403s0RFXMZA/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita
![](http://2.bp.blogspot.com/-L2TXaMzu9JQ/VTXN99s2LII/AAAAAAAHSLM/403s0RFXMZA/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RGb5FCd7nAw/VTXN_xeMV0I/AAAAAAAHSLU/J001Af-SbGU/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Makumbusho ya Pele kivutio Santos, Brazil
>Hatimaye mfalme wa soka, Pele ametengenezewa jumba lake la makumbusho ambalo limefunguliwa Jumapili iliyopita kwenye mji wa Valongo mjini Sao Paulo, Brazil.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1pJkDoPV0n*zEyCIthDEpQDvN9yt2Il8T*gFVTy98FsClPoEkyjQwNUsFl87fmK0hskZiyyGQ5OEGzch2*n9Wy/1.jpg)
HALI MBAYA YA HEWA YAKWAMISHA ZOEZI LA UOKOAJI MIILI KUTOKA AIRASIA QZ8501
Baadhi ya mabaki ya Ndege ya AirAsia yakiwa Uwanja wa Ndege wa Pangkalan Bun, Indonesia leo. Mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye ndege ya AirAsia ukielea katika Bahari ya Java.…
11 years ago
TheCitizen09 Jun
BRAZIL 2014: Why Pele thinks Neyamar’s Barca move was ‘genius’
Brazil icon Pele says he thinks Neymar has improved a great deal since he joined Barcelona and hailed the attacker as a “geniusâ€.
11 years ago
TheCitizen12 Jun
Brazil 2014: Pele worried about great expectations for forward Neymar
Brazil star Neymar is under too much pressure to deliver the hosts with a sixth World Cup trophy, football legend Pele told the BBC. The 22-year-old Barcelona striker -- who has scored seven goals in Brazil’s nine successive friendly wins leading into the finals -- is too young to be loaded with such expectations, said Pele ahead of the hosts opening game with Croatia in Sao Paulo today.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MD5miWszXmUUV5-haG6xFM7unaEqQjRT7tdNq-NxnDpP8Vf4OAmZURgfiFqmLJMpO*lNzld8Rnw4e7qJ6OxdnvO/figo.jpg?width=650)
HALI YA PELE YAZIDI KUIMARIKA BAADA YA UPASUAJI WA TEZI DUME
AFYA ya aliyekuwa staa wa timu ya taifa ya Brazil, Pele inazidi kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo nchini Brazil. Hospitali hiyo imeeleza kuwa Pele mwenye umri wa miaka 74 anaendelea vizuri baada ya upasuaji huo uliofanyika wiki hii. Pele aliwahi kulazwa katika hospitali hiyo takriban miezi sita iliyopita kwa upasuaji wa dharura ili kuondoa mawe katika figo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania