Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake
Pele, aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil amezungumza kwa mara ya kwanza tangu mwanawe alipodai afya yake huenda ikawa kizuizi cha kuwa nyumbani na kusema hali yake ya afya ni jambo la kawaida kwa mtu mwenye umri kama wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Pele: Aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil anahisi aibu kutoka nyumbani kutokana na hali mbaya ya kiafya
10 years ago
Vijimambo
MCHEZAJI NGULI WA BRAZIL PELE AMELAZWA HOSPITAL KWENYE CHUMBA CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU)

Pele mwenye miaka 74 alilazwa kwenye hospitali hiyo jumanne wiki hii baada ya kupata maambukizi kutokana na kufanyiwa upasuaji kuondoa mawe kwenye figo mwezi uliopita.
Madaktari wa hospitali ya Albert Einstein ya mjini Sao Paulo wamesema hali ya mchezaji huyo inaendelea...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...
10 years ago
GPL
WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Watu watarejea lini katika hali ya kawaida?
11 years ago
GPLMR. CHAMPIONI KAMA KAWAIDA YAKE AZIDI KUTAMBA MTAANI JIJINI DAR
10 years ago
Raia Mwema19 Aug
Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...