Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida

WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni

Jenerali Ulimwengu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Hali ya Hewa: Joto Dar si la kawaida

Joto kali lililoikumba mikoa ya pembezoni mwa Bahari ya Hindi hasa Dar es Salaam imeelezwa kuwa si la kawaida kutokana kiwango cha wastani cha joto duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Watu watarejea lini katika hali ya kawaida?

Changamoto kubwa ambayo dunia inakabiliana nayo katika kukabiliana na mlipuko wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake

Pele, aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil amezungumza kwa mara ya kwanza tangu mwanawe alipodai afya yake huenda ikawa kizuizi cha kuwa nyumbani na kusema hali yake ya afya ni jambo la kawaida kwa mtu mwenye umri kama wake.

 

10 years ago

Mtanzania

Ulinzi Dar si wa kawaida

kovaVeronica Romwald na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
HALI ya ulinzi katika viunga vya Jiji la Dar es Salaam sasa si ya kawaida, kutokana na askari wa Jeshi la Polisi kuonekana kutanda katika maeneo mbalimbali.
MTANZANIA Jumamosi limebaini jana kuwapo kwa idadi kubwa ya askari wa Jeshi la Polisi ambao wamesambaa katika maeneo mbalimbali ya jiji, zaidi wakiwa na silaha kama bunduki na virungu.
Baadhi ya maeneo ambayo gazeti hili limeshuhudia ulinzi wake kuwa si wa kawaida ni pamoja na Mlimani City,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India

Udanganyifu wa mtihani umekuwa jambo la kawaida katika Jimbo la India la Bihar lakini picha

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapunda: Kutemwa Stars kawaida

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, amesema kitendo cha kuachwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinachojiwinda na mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ‘Intamba Murugamba’ itakayochezwa Aprili 26,...

 

9 years ago

Habarileo

Simba wa kawaida sana - Julio

SARE ya bao 1-1 iliyopata timu ya Mwadui FC dhidi ya Simba imemkera kocha wake Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amesema Simba ni timu ya kawaida hivyo haikustahili sare. Kocha huyo ambaye aliwahi kuifundisha Simba alisema kuwa anaiona timu hiyo kuwa ni timu ya kawaida kwake kwa kuwa kwa sasa haina kabisa uwezo wa kucheza.

 

10 years ago

Habarileo

Shilingi kurejea kawaida yake

Gavana Wa Benki Kuu Ya Tanzania Prof BENNO NDULU alipokuwa Akitoa Ufafanuzi Juu Ya Ubora Wa Noti Mpya (Picha na Maktaba).BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeanza kuchukua hatua mbalimbali kuimarisha thamani ya Shilingi ya Tanzania, hatua ambazo imesema katika kipindi kifupi kijacho zitaifanya sarafu hiyo kuimarika.

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa- Ni kawaida mapadre kuoa

KANISA Katoliki nchini limesema suala la kuoa au kutooa kwa makasisi ndani ya kanisa hilo, si jambo la ajabu kwa kuwa kanisa hilo maeneo ya Mashariki mwa dunia, makasisi (mapadri) wake wanaoa na Magharibi ikiwemo Tanzania, wamechagua kutooa.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anatoly Salawa alipozungumzia kauli ya Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, Papa Francis kuwa huenda kanisa hilo likaruhusu makasisi kuoa.

“Kanisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani