Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Hali ya Hewa: Joto Dar si la kawaida
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Watu watarejea lini katika hali ya kawaida?
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Ulinzi Dar si wa kawaida
Veronica Romwald na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
HALI ya ulinzi katika viunga vya Jiji la Dar es Salaam sasa si ya kawaida, kutokana na askari wa Jeshi la Polisi kuonekana kutanda katika maeneo mbalimbali.
MTANZANIA Jumamosi limebaini jana kuwapo kwa idadi kubwa ya askari wa Jeshi la Polisi ambao wamesambaa katika maeneo mbalimbali ya jiji, zaidi wakiwa na silaha kama bunduki na virungu.
Baadhi ya maeneo ambayo gazeti hili limeshuhudia ulinzi wake kuwa si wa kawaida ni pamoja na Mlimani City,...
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mapunda: Kutemwa Stars kawaida
KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, amesema kitendo cha kuachwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinachojiwinda na mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ‘Intamba Murugamba’ itakayochezwa Aprili 26,...
9 years ago
Habarileo28 Dec
Simba wa kawaida sana - Julio
SARE ya bao 1-1 iliyopata timu ya Mwadui FC dhidi ya Simba imemkera kocha wake Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amesema Simba ni timu ya kawaida hivyo haikustahili sare. Kocha huyo ambaye aliwahi kuifundisha Simba alisema kuwa anaiona timu hiyo kuwa ni timu ya kawaida kwake kwa kuwa kwa sasa haina kabisa uwezo wa kucheza.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Shilingi kurejea kawaida yake
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeanza kuchukua hatua mbalimbali kuimarisha thamani ya Shilingi ya Tanzania, hatua ambazo imesema katika kipindi kifupi kijacho zitaifanya sarafu hiyo kuimarika.
11 years ago
Habarileo15 Jul
Kanisa- Ni kawaida mapadre kuoa
KANISA Katoliki nchini limesema suala la kuoa au kutooa kwa makasisi ndani ya kanisa hilo, si jambo la ajabu kwa kuwa kanisa hilo maeneo ya Mashariki mwa dunia, makasisi (mapadri) wake wanaoa na Magharibi ikiwemo Tanzania, wamechagua kutooa.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anatoly Salawa alipozungumzia kauli ya Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, Papa Francis kuwa huenda kanisa hilo likaruhusu makasisi kuoa.
“Kanisa...