Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India

Udanganyifu wa mtihani umekuwa jambo la kawaida katika Jimbo la India la Bihar lakini picha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maandalizi hafifu chanzo cha udanganyifu wa mitihani

MAANDALIZI hafifu ya watahiniwa wa mitihani kwa ngazi zote ndio chanzo kikubwa cha kuwapo udanganyifu katika mitihani ya mwisho.

 

11 years ago

Dewji Blog

NECTA yafanikiwa kudhibiti udanganyifu na wizi wa mitihani ya taifa nchini

1

Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Baraza hilo ikiwemo matumizi ya TEHAMA katika usajili wa watahimiwa na uchakataji wa matokeo ya Mitihani ya Taifa. Kulia ni Afisa Habari wa NECTA John Nchimbi.

2

Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar s salaam...

 

10 years ago

BBCSwahili

India:Wanafunzi wahalalisha udanganyifu

Wanafunzi nchini India wamedai kuwa ni haki yao kuibia kwenye mitihani ya Chuo kikuu

 

10 years ago

Mwananchi

Haijapata kutokea; mamia ya wazazi wavujisha mitihani India

Ni mfano wa kirusi kilichokosa jina ambacho kinasambaa na kuathiri wanafunzi wengi wanaofikiria na kuamini kuwa ‘kupiga chabo’ (kuibia katika mtihani), ni njia pekee inayoweza kuwakomboa katika masomo yao.

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida

WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Tanzania Daima

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

10 years ago

Mtanzania

Pacquiao kuadhibiwa kwa udanganyifu

LAS VEGAS, MAREKANI

BONDIA Manny Pacquiao anaweza kufungiwa au kupigwa faini na viongozi wa Kamisheni ya Ngumi Nevada kwa kushindwa kuweka wazi majeraha ya bega kabla ya pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather Jr.

Alfajiri ya Jumapili Mfilipino huyo alipigwa na Mayweather kwa pointi kwenye pambano la karne lililofanyika Las Vegas, lakini baadaye Pacquiao alisingizia alipata maumivu ya bega mazoezini yaliyomfanya kushindwa kutumia vema mkono wake wa kushoto.

Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge Kenya kukomesha 'udanganyifu'

Bunge nchini Kenya limeidhinisha mfumo mpya wa kisasa wa kuwatambua wabunge wanaohudhuria vikao bungeni kwa kutumia alama za vidole vyao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani