NECTA yafanikiwa kudhibiti udanganyifu na wizi wa mitihani ya taifa nchini
Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Baraza hilo ikiwemo matumizi ya TEHAMA katika usajili wa watahimiwa na uchakataji wa matokeo ya Mitihani ya Taifa. Kulia ni Afisa Habari wa NECTA John Nchimbi.
Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar s salaam...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Dkt. Charles Msonde ndiye Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam jioni ya jana, Alhamisi, Agosti 14, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa uteuzi huo ulianza juzi, Jumatano, Agosti 13, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Msonde alikuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo hilo la mitihani.
Dkt. Msonde anachukua nafasi...
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India
10 years ago
Habarileo24 Feb
Maandalizi hafifu chanzo cha udanganyifu wa mitihani
MAANDALIZI hafifu ya watahiniwa wa mitihani kwa ngazi zote ndio chanzo kikubwa cha kuwapo udanganyifu katika mitihani ya mwisho.
11 years ago
Mwananchi14 Oct
Shule ya Msingi Uhuru yafanikiwa kudhibiti utoro
10 years ago
Dewji Blog30 Sep
NEC: Hakuna wizi na udanganyifu wa kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Chama cha Kitaifa cha Watu Wasioona Zanzibar (ZANAB), Adili Mohamed wakati wa mkutano baina ya taasisi za watu wenye ulemavu nchini na NEC iliyofanyika leo Jumanne Septemba 29, 2015 Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Shirikisho la Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Mkoa wa Dar es Salamm Mohamed Chazi ...
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Akanusha walimu kukamatwa na mitihani ya wizi
SERIKALI wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga imekanusha taarifa zilizotolewa katika baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari nchini, kuwa walimu wawili wa Shule ya Sekondari ya Anderleck Ridge iliyopo hapa, wanashikiliwa na Polisi kwa kosa la kupatikana na mitihani ya wizi ya kidato cha nne kinyume cha sheria.
10 years ago
Michuzi
Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini

10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Nigeria kudhibiti wizi wa Mafuta