Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu katika Hifadhi ya Msitu wa Mazingira asilia wa Chome (Shengena) Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro kwa kutumia ulinzi shirikishi unaohusisha vijiji 27 vinavyoizunguka hifadhi hiyo.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4PvpJhMKhE/VRF46hnlXUI/AAAAAAAHM7g/HO6boj16yG0/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU
![](http://3.bp.blogspot.com/-R4PvpJhMKhE/VRF46hnlXUI/AAAAAAAHM7g/HO6boj16yG0/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
SERIKALI KUDHIBITI WAHAMIAJI HARAMU WANAOTUMIA NJIA ZA TRENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Barnabas Mwakalukwa,akitoa taarifa ya hali ya ulinzi na usalama kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapo leo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-3AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi,Mohamed Jihadi, akitoa taarifa ya idara yake kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani...
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma).
Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma
SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti ujangili na biashara haramu ya mazao ya maliasili kwa kuridhia na kutekeleza mikataba minne ya kudhibiti ujangali wa tembo na unaovuka mipaka na kulinda mapori ya akiba.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mahmoud Mgimwa, bungeni Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mch. Peter...
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Watakiwa kumaliza uvunaji haramu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC01532-1024x577.jpg)
KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s640/DSC01532-1024x577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC01524AA-1024x577.jpg)
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...
10 years ago
Habarileo12 Jun
SMZ yafanikiwa kuthibiti uvuvi haramu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu ambao umekuwa chanzo kikubwa cha kuharibu rasilimali za baharini ikiwemo samaki ambao wengi huvuliwa wakiwa hawafai kwa matumizi ya kula.