VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU
![](http://3.bp.blogspot.com/-R4PvpJhMKhE/VRF46hnlXUI/AAAAAAAHM7g/HO6boj16yG0/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania,Gladness Mkamba akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC .Picha picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s72-c/20151117_164358.jpg)
UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s640/20151117_164358.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N1aDXy-T39U/VkzUobist-I/AAAAAAAIGnk/cXs2da-ebS0/s640/20151118_113644.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
DC awashukia wanaovuna mazao ya misitu Rufiji
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Watendaji, wafanyabiashara huhujumu mazao ya misitu
KATIKA kipindi hiki misitu nchini inaendelea kupungua kutokana na uharibifu unaofanywa na wananchi walio kandokando ya rasilimali hiyo. Mbali na misitu kuharibiwa na wananchi, pia baadhi ya watendaji wa serikali...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mtandao walalamikia utaratibu wa usafirishaji mazao ya misitu
MTANDAO wa Usimamizi wa Mazao ya Misitu Tanzania (TRAFFIC) umesema kuwa pamoja na kuwepo kwa sheria zinazotoa mwongozo wa bidhaa za misitu zinavyopaswa kusafirishwa, utaratibu huo umeshindwa kutekelezwa ipasavyo. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi22 Mar
Tanzania Ijayo, Ufugaji Wa Kisasa Na Biashara Kubwa Ya Mazao Ya Mifugo Yetu - Profesa Muhongo
Wasifu Kwa Kifupi, Prof Sospeter Muhongo) 20 Machi 2015
9 years ago
MichuziSERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ujulikanao...