Tanzania Ijayo, Ufugaji Wa Kisasa Na Biashara Kubwa Ya Mazao Ya Mifugo Yetu - Profesa Muhongo
Wasifu Kwa Kifupi, Prof Sospeter Muhongo) 20 Machi 2015
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--VGSUQCZTuc/XkzxZg8XIsI/AAAAAAALePQ/nypcgu1kJdIuBYeBv_x6e4pgLBOyeOkJACLcBGAsYHQ/s72-c/344.jpg)
SOKO KUBWA LA MAZAO NA MNADA WA MIFUGO KUANZISHWA KYERWA.
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inajipanga kujenga Soko la Mazao na Mnada wa Mifugo katika Kata ya Murongo Wilayani Kyerwa lenye thamani ya Shilingi 114, 549,996 lengo likiwa ni kudhibiti biashara ya magendo ya usafirishaji na uuzaji wa mazao na mifugo kwa njia zisizokuwa halali.
Mpango huo ni miongoni mwa vipaumbele ambavyo vimebainishwa katika Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020-2021, uliowasilishwa katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VzgMOCLnFFo/VcINcDn352I/AAAAAAAHuXc/9XtRv-c_j1M/s72-c/image.jpeg)
BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
10 years ago
VijimamboRIPOTI YA HALI YA BIASHARA YA MAZAO YATOKANAYO NA BIOTEKNOLOJIA YA KISASA YA MWAKA 2014 YAZINDULIWA DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi17 Apr
10 years ago
Michuzi11 Mar
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi
* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri
*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Musoma
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.
Pamoja na mambo mengine, Muhongo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4PvpJhMKhE/VRF46hnlXUI/AAAAAAAHM7g/HO6boj16yG0/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU
![](http://3.bp.blogspot.com/-R4PvpJhMKhE/VRF46hnlXUI/AAAAAAAHM7g/HO6boj16yG0/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrGc837aSS4/VAGkgx-ImeI/AAAAAAAGWLM/gQrjCaQZWTY/s72-c/IMG_20140830_004856.jpg)