Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu

DSCF2342

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo  baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji  na washirika  wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania,Gladness Mkamba akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC .Picha picha...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu katika Hifadhi ya Msitu wa Mazingira asilia wa Chome (Shengena) Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro kwa kutumia ulinzi shirikishi unaohusisha vijiji 27 vinavyoizunguka hifadhi hiyo.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...

 

5 years ago

Michuzi

WAVUNAJI WA MISITU KATIKA MASHAMBA YA SERIKALI KUPATIWA MKATABA WA MIAKA MITATU, MTAJI WA BIASHARA NA MASOKO YA MBAO

KATIKA  kile alichoeleza kuwa ni kuimarisha sekta ya misitu ili iweze kutoa mchango unaostahili kwa jamii na taifa kwa ujumla, Kamishna Mhifadhi wa Misitu, Profesa Dos Santos Silayo amesema Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umeingia  makubaliano ya miaka mitatu ya upatikanaji wa malighafi ya miti, kutoa mitaji na kuwatafutia masoko ya mbao wafanyabiashara wanaovuna misitu katika mashamba ya miti ya serikali.

Prof. Silayo amesema hayo jana mjini Dodoma katika mkutano na wadau wa sekta ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?

Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mantra yasaini makubaliano kupiga vita ujangili

KAMPUNI ya Mantra Tanzania na Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya Maliasili na Utalii, wamesaini mkataba wa makubaliano, ambao umelenga kwa pande zote mbili kushirikiana katika kupiga vita ujangili wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje

1

Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.

Na Mwandishi wetu

MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA

 

DSC_5719

Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu  (kushoto) pamoja na  Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan  wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na  Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar.  Bw. Mahamoud Thabit Kombo.

Na  Mwandishi Wetu

Kampuni ya Huawei Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

Mantra yasaini makubaliano na Serikali kupiga vita ujangili wa ndovu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) na Chris Sattler, Afisa Mtendaji Mkuu wa Uranium One, (wa pili kushoto) wakisaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ambao inairuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya urani ya Mantra Tanzania kuwekeza dola za Kimarekani 800,000 katika mwaka 2014 itakayo tumika katika shughuli za kupambana na ujangili katika mbuga za wanyanya nchini Tanzania. Aliyesimama ni Galina Molchanova, Makamu wa Rais wa kamapuni ya Mantra Tanzania. Hafla hiyo fupi...

 

10 years ago

Michuzi

TIB NA TAMISEMI WATILIANA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

TIB Development Bank, taasisi kuu ya fedha nchini katika maendeleo, pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wametia saini makubaliano ya ushirikiano (MOU) ya ufadhili wa miradi ya miundombinu kwenye Serikali za Mitaa.
Makubaliano hayo yaliyotiwa saini na Mh. Jumanne Sagini, Katibu Mkuu TAMISEMI na Bw. Peter Noni, Mkurugenzi Mtendaji, TIB Development Bank yanaimarisha msingi wa taasisi hizi mbili wa uboreshwaji mifumo na utoaji wa huduma bora kwa jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani