TIB NA TAMISEMI WATILIANA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-zga5oOZcG3Y/VM6VQH7cr0I/AAAAAAAHAww/ujN35Qi7U8Q/s72-c/unnamed.jpg)
TIB Development Bank, taasisi kuu ya fedha nchini katika maendeleo, pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wametia saini makubaliano ya ushirikiano (MOU) ya ufadhili wa miradi ya miundombinu kwenye Serikali za Mitaa.
Makubaliano hayo yaliyotiwa saini na Mh. Jumanne Sagini, Katibu Mkuu TAMISEMI na Bw. Peter Noni, Mkurugenzi Mtendaji, TIB Development Bank yanaimarisha msingi wa taasisi hizi mbili wa uboreshwaji mifumo na utoaji wa huduma bora kwa jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Feb
DTBi - COSTECH WATILIANA SAINI YA USHIRIKIANO NA SILICON VALLEY YA MAREKANI
![Mr Carl Davis Jr, President of the Silicon Valley Black Chamber of Commerce and Eng. George Mulamula, CEO of DTBi sign MOU copy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/Mr-Carl-Davis-Jr-President-of-the-Silicon-Valley-Black-Chamber-of-Commerce-and-Eng.-George-Mulamula-CEO-of-DTBi-sign-MOU-copy.jpg)
Bw.Carl Davis Jr, Rais wa Silicon Valley Black Chamber of Commerce na Eng. George Mulamula, Mkurugenzi Mtendaji wa DTBi (kulia) wakisaini MOU.
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI tanzu ya Tume ya sayansi na teknolojia ya DTBi-COSTECH na Silicon Valley Black Chamber of Commerce’s Center for Entrepreneurial Development (SVCED) wametiliana saini ya Mkataba wa Makubaliano (MoU) ambapo pande zote mbili zitashirikiana kwa njia mbalimbali kwa ajili ya ukuaji wa wajasiriamali.
Mkataba huo, kati ya DTBi na...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/Mr-Carl-Davis-Jr-President-of-the-Silicon-Valley-Black-Chamber-of-Commerce-and-Eng.-George-Mulamula-CEO-of-DTBi-sign-MOU-copy.jpg?width=640)
DTBi - COSTECH WATILIANA SAINI YA USHIRIKIANO NA SILION VALLEY YA MAREKANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nKBQ2cJ2tx0/VmKmBpg2z4I/AAAAAAAIKTM/fi3OetyR-wQ/s72-c/73d8cb1a-7ff5-48f2-b341-ab43cfe9eb8d.jpg)
TGDC NA KAMPUNI YA TOSHIBA WATILIANA SAINI MKATABA WA MAELEWANO (MOU) WA UTAFUTAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje
Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.
Na Mwandishi wetu
MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu (kushoto) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar. Bw. Mahamoud Thabit Kombo.
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Huawei Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
11 years ago
MichuziMAGEREZA NA GEPF WATILIANA MKATABA WA UWEKEZAJI
Jeshi la Magereza nchini kupitia Shirika lake la uzalishaji mali (Prisons Corporation Sole) limetiliana Mkataba wa uwekezaji na Mfuko wa Jamii wa GEPF ambapo majengo ya vitega uchumi yatajengwa katika maeneo ya Kihonda Mkoani Morogoro na Karanga Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Tukio hilo la utiwaji sahini mkataba huo limefanyika leo Alhamis 29, 2014 katika ukumbi wa mikutano ulioko Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Jijini Dar es salaam. Akiongea katika hafla hiyo...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali