Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ufugaji wa kisasa


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yapania uvuvi na ufugaji wa kisasa

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus KamaniTANZANIA imedhamiria kuanzisha mpango wa ufugaji na uvuvi wa kisasa ili kuiwezesha sekta hiyo kuiingizia taifa pato kubwa.

 

10 years ago

StarTV

Waagizwa kutembelea Rukwa kujifunza ufugaji wa kisasa.

Na Sammy Jumaa Kisika,

Rukwa.

 

Serikali imeziagiza halmashauri zote nchini kuandaa ziara za mafunzo kwa vitendo kwa kuutembelea mkoa wa Rukwa ili kujifunza namna ya kufanya mageuzi katika ufugaji wa kisasa.

 

Agizo la Serikali limekuja baada wafugaji wa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kuanza kufuga kitaalamu kwa kutumia mbegu za ng’ombe za kisasa ambao huzalishwa kwa wafugaji mkoani humo na kupata tija katika sekta hiyo ya mifugo.

 

Wafugaji wa wilaya ya Nkasi sio tu wanafanikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar

 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong’o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na ujasiliamali na kuunda vikundi mbalimbali ili kujiendeleza kiuchumi. IMG_0018 Mmoja wa wajasiriamali ambaye pia ni Mkulima na Mfugaji akichangia uzoefu wake wa jinsi alivyo nufaika na mafunzo kama haya na mpaka sasa anajitegemea na Kupata kipatochake na kuwasaidia wengine. Wa kwanza Kulia ni Stella...

 

10 years ago

Michuzi

WENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR

Kilimo na Ufugaji wa Kisasa kwa maendeleo ya Jamii na kukataa umasikini kwa kujiajili ndiyo kauli kuu iliyotawala katika Semina ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa iliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo washiriki walipata mafunzo na Elimu Bora juu ya Kilimo bora cha kisasa pamoja na ufugaji Semina iliyo ongozwa na Mjasiriamali mwanamke ambaye amethubutu Bi. Mary David Kinong'o.
Katika Semina hiyo kulikuwa na mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kilimo cha kisasa cha kutumia Green houses ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA

Na Lucas Mboje, Lindi
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa 24 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote nchini leo April 24, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chungh...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watafiti waombwa kugeukia ufugaji

WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...

 

9 years ago

Bongo5

Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku

Hi

Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.

Hi

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:

Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani