Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watafiti waombwa kugeukia ufugaji

WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA WATAFITI WA UFUGAJI NYUKI BARANI AFRIKA

TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa kongamano la watafiti na wanasayansi wa sekta ya ufugaji nyuki Barani Afrika linalotarajiwa kufanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 11 hadi 16 Novemba mwaka huu.
Kongamano hilo linatajiwa kuhudhuriwa na washiriki 550 ambapo kati yao Watanzaniani 250 na wageni kutoka nje ya nchi wanatarajia kuwa 300. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jumanne (Septemba 16, 2014), Jijini Dar esSaalaam, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania katika Wizara ya ...

 

11 years ago

Mwananchi

Kcee: Mwanasoka aliyefanikiwa baada ya kugeukia muziki

Ndoto ni kitu ambacho binadamu wengi wanacho, ingawa kila mmoja anakuwa na mtazamo tofauti kulingana na namna gani anafikiria kuhusiana na ndoto zake.

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo

Afande-Sele-nzuri_fullMsanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amesema ameamua kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji. Rapper huyo wa ‘Darubini Kali’, aliyeshindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia chama cha ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini hawezi kufanya muziki wa kibiashara utakaomlipa kutokana na kuwagawa mashabiki wake kupitia siasa. […]

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa  wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...

 

9 years ago

Dewji Blog

TEWUTA wampongeza Rais Dk. Magufuli, wamuomba kugeukia mashirika ya mawasiliano ya Serikalini

tewuta

Katibu mkuu wa TEWUTA, Junus Ndaro (katikati) alkizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa TEWUTA, Pius Makuke, kushoto ni afisa kutoka chama hicho. (Picha na Rabi Hume)

Na Rabi Hume

[DAR ES SALAAM] Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA), kimemtaka rais wa Tanzania, Dr. John Magufuli kuyasaidia mashirika ya mawasiliano yaliyo chini ya seikali kutokana na mashirika hayo kuwa na hali...

 

9 years ago

BBCSwahili

Panya watafiti wa mabomu na TB Morogoro

Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.

 

9 years ago

Mwananchi

Watafiti wanavyolipigania zao la mhogo

Wakati wa jioni kwenye barabara nyingi jijini Dar es Salaam kina dada wengi huonekana wakiuza vipande vya mihogo mibichi kwa watu wanaokuwa kwenye foleni za magari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuwawataalam wanaendelea kufanya utafiti wa kupata dawa ya Ebola.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Sheria ya Takwimu haiwazuii watafiti’

NBS - 1Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk. Albina Chuwa, amesema Sheria mpya ya Takwimu ya Mwaka 2015 haina lengo la kuzuia taasisi au watu binafsi kufanya utafiti wao nchini ila inalenga kuweka misingi imara ya shughuli za takwimu na utafiti.

Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu kutungwa sheria hiyo mpya na Bunge Machi mwaka huu.

Dk. Chuwa alisema kuanzishwa kwa sheria hiyo kunalenga kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani