Watafiti waombwa kugeukia ufugaji
WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eyD2S4R9yoA/VBiAraox4GI/AAAAAAAGj-M/sOZjGTza40E/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA WATAFITI WA UFUGAJI NYUKI BARANI AFRIKA
Kongamano hilo linatajiwa kuhudhuriwa na washiriki 550 ambapo kati yao Watanzaniani 250 na wageni kutoka nje ya nchi wanatarajia kuwa 300. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jumanne (Septemba 16, 2014), Jijini Dar esSaalaam, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania katika Wizara ya ...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kcee: Mwanasoka aliyefanikiwa baada ya kugeukia muziki
9 years ago
Bongo530 Oct
Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-94x94.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s400/12.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
TEWUTA wampongeza Rais Dk. Magufuli, wamuomba kugeukia mashirika ya mawasiliano ya Serikalini
Katibu mkuu wa TEWUTA, Junus Ndaro (katikati) alkizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa TEWUTA, Pius Makuke, kushoto ni afisa kutoka chama hicho. (Picha na Rabi Hume)
Na Rabi Hume
[DAR ES SALAAM] Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA), kimemtaka rais wa Tanzania, Dr. John Magufuli kuyasaidia mashirika ya mawasiliano yaliyo chini ya seikali kutokana na mashirika hayo kuwa na hali...
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Panya watafiti wa mabomu na TB Morogoro
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watafiti wanavyolipigania zao la mhogo
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi
10 years ago
Mtanzania21 May
‘Sheria ya Takwimu haiwazuii watafiti’
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk. Albina Chuwa, amesema Sheria mpya ya Takwimu ya Mwaka 2015 haina lengo la kuzuia taasisi au watu binafsi kufanya utafiti wao nchini ila inalenga kuweka misingi imara ya shughuli za takwimu na utafiti.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu kutungwa sheria hiyo mpya na Bunge Machi mwaka huu.
Dk. Chuwa alisema kuanzishwa kwa sheria hiyo kunalenga kutoa...