Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kcee: Mwanasoka aliyefanikiwa baada ya kugeukia muziki

Ndoto ni kitu ambacho binadamu wengi wanacho, ingawa kila mmoja anakuwa na mtazamo tofauti kulingana na namna gani anafikiria kuhusiana na ndoto zake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo

Afande-Sele-nzuri_fullMsanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amesema ameamua kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji. Rapper huyo wa ‘Darubini Kali’, aliyeshindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia chama cha ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini hawezi kufanya muziki wa kibiashara utakaomlipa kutokana na kuwagawa mashabiki wake kupitia siasa. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

H BABA: Mwanasoka anayetikisa katika muziki ‘Takeu’

WAHENGA walisema: ‘Mshika mbili moja humponyoka’. Ni usemi unaotumiwa na kuitahadharisha jamii kutoshiriki masuala mawili kwa wakati mmoja, kwani kuna uwezekano mkubwa wa kutofanikiwa yote. Ni sawa na kusema: ‘Mtaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watafiti waombwa kugeukia ufugaji

WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kuolewa Meninah asimama kufanya muziki kwa muda!

Baada ya kuolewa muimbaji wa ‘Shaghala Baghala’, Meninah Atick amesema amesimama kufanya muziki kwa muda. Akizungumza na kipindi cha Friday Night Live cha EATV hivi karibuni, Meninah alisema muda mwingi atautumia kufanya biashara. “Mimi ni Mrs Abdukarim, alikuwa ana support muziki wangu, but mimi kama mimi kwanza nilikuwa engaged nilikubaliana na hiyo hali na ni […]

 

10 years ago

Mwananchi

Don Jazzy: Mlinzi aliyefanikiwa kuwa maarufu Afrika

Unapozungumzia watayarishaji wa muziki wanaofanya vizuri kwa sasa barani Afrika lazima jina la Don Jazzy litakuwa kwenye orodha hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond

Wasanii mbalimbali wakubwa na wadogo wameendelea kumpongeza Diamond Platnumz kwa ushindi mkubwa alioupata Jumamosi iliyopita baada ya kunyakua tuzo tatu za Channel O (CHOAMVA). Kupitia Instagram Mwana FA ameandika jinsi anavyouchukulia kwa uzito ushindi huo wa Platnumz pamoja na ushauri wake kwa makampuni na wadau katika kuwekeza kwenye muziki. “Sawa…nilikuwa nangoja woooote mmalize ili mnisikilize […]

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer alipigwa na mama yake mpaka kuzimia baada ya kugundulika anafanya muziki

Mama wa msanii wa muziki wa Hip Hop Young Killer Msodoki, amesema kuwa anafurahishwa sana na kipaji cha mtoto wake ambacho kinaendelea kuonekana siku hadi siku licha ya kwamba mwanzoni aliwahi kumkataza kwa kumpiga mwanaye huyo mpaka kuzimia ile aachane na muziki. Young Killer akiwa na mama yake Mama Msodoki alikuwa akizungumza na Bongo5 jana […]

 

11 years ago

CloudsFM

JAFARAI AFUNGUKA KUWA MUZIKI WAKE UMETIKISIKA BAADA YA KIFO CHA ALBERT MANGWEA

Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka kundi la wateule jafarai jafarhymes amefunguka kuwa muziki wake umekuwa katika hali ‘tete’baada ya kifo cha aliyekuwa msanii mwenzake wa muziki huo marehemu Albert Mangwea’Ngwea’ ambaye leo ametimiza mwaka mmoja tangu afariki dunia.Jafarai muziki wake umesimama kutokana na kuwa na mazoea ya kufanya kazi zake kwa kushirikiana na msanii huyo, ngoma ya mwisho ya Jafarai kutoka ilikua Blaa Blaa iliyotoka zaidi ya mwaka mmoja uliopita.Jafarai huyu hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani