Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTANA NA MTAALAMU ALIYEFANIKIWA KUANZISHA REDIO YAKE MWENYEWE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau wapongeza kituo cha Redio 5 kwa kuanzisha kampeni ya ‘Kapu la Pasaka’

unnamed

Wafanyakazi wa kituo cha Redio 5 cha jijini  Arusha wakikatishaa mitaa kumsakata mshindi wa kapu la Pasaka ,eneo hili linafahamika kwa jina la kwa Morombo na ni maarufu kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi.

unnamed (1)

Mshindi maarufu kwa jina la Sule akipokea zawadi katika Kampeni ya Kapu la Pasaka inayoendeshwa na kituo cha Redio 5, baada ya kuwa msikilizaji mzuri wa vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na kituo hicho,kulia ni Ashura Mohamed na Hilda Kinabo watangazaji wa Redio 5 ,Bw.Sule ni kinyozi maarufu...

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid kuja na bendi yake mwenyewe

11906213_1462180174091388_118603131_nWizkid anakuja na bendi yake mwenyewe kutumbuiza Jumamosi hii kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. Hitmaker huyo wa Ojuelegba alikuwa atue jijini Dar es Salaam mchana Ijumaa hii lakini kutokana na mabadiliko ya ratiba ya ndege ataingia nchi saa sita usiku wa leo. Wizkid ameandika kwenye Twitter kuhusu kuja na bendi yake ambayo […]

 

11 years ago

Mwananchi

Kashkashi angani: Rubani awehuka, ateka ndege yake mwenyewe

Rubabi huyo alitenda kitendo hicho cha ajabu kama njia ya kujaribu kuomba hifadhi ya kisiasa nchini Uswisi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa

DSC_0088

Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...

 

10 years ago

CloudsFM

Vibaka wamliza Gerald Hando,wakomba power window,taa,redio kwenye gari yake

Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm,Gerald Hando ameibiwa vifaa mbalimbali vya kwenye gari yake aina ya IST yenye namba za usajili T 794 CXC kama power window,redio,taa,redio na vitu vingine usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake maeneo ya Kijitonyama.

Akizungumza kwa uchungu Hando alisema kuwa aliamka asubuhi alipoangalia gari lake ndipo alipokuwa limeibiwa kila kitu na halifai kabisa. ‘’Nilipoamka asubuhi sikuamini macho yangu yaani vibaka wameiba kila kitu kwenye gari...

 

11 years ago

Mwananchi

Kcee: Mwanasoka aliyefanikiwa baada ya kugeukia muziki

Ndoto ni kitu ambacho binadamu wengi wanacho, ingawa kila mmoja anakuwa na mtazamo tofauti kulingana na namna gani anafikiria kuhusiana na ndoto zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Don Jazzy: Mlinzi aliyefanikiwa kuwa maarufu Afrika

Unapozungumzia watayarishaji wa muziki wanaofanya vizuri kwa sasa barani Afrika lazima jina la Don Jazzy litakuwa kwenye orodha hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani