Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashkashi angani: Rubani awehuka, ateka ndege yake mwenyewe

Rubabi huyo alitenda kitendo hicho cha ajabu kama njia ya kujaribu kuomba hifadhi ya kisiasa nchini Uswisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Ndege ya India iliyokuwa na abiria 280 yashuka futi 5000 angani baada ya rubani kusinzia

Mamlaka ya anga nchini India inachunguza tukio la hatari lililotokea Agosti 8, baada ya ndege ya Jet Airways Boeing 777-300 iliposhuka angani kwa zaidi ya futi 5000 (mita 1500) kutoka kwenye urefu waliopangiwa kuruka baada ya rubani wake kusinzia. Tukio hilo lilitokea wakati ndege hiyo ikifanya safari kutoka Mumbai, India kwenda Brussels, Ubelgiji. Times of […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya..

Matukio yameendelea kuchukua headlines India.. ukiachia lile tukio la joto kali lililofanya watu kushindwa kuvumilia  na kukaa ndani ya maji wakihofia maisha yao huku wengine wakipoteza maisha kutokana na joto kali kuna hii nyingine imetokea huko. Ndege ya Air India ambayo ilikua ikitoka Mumbai kuelekea London, Uingereza ililazimika kugeuza safari  ikiwa na abiria wake 171 na […]

The post Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya.. appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rubani aliteka ndege ya Ethiopia

Rubani msaidizi ndiye aliyeiteka nyara ndege ya Ethiopia

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Ndege haziendeshwi na rubani mmoja’

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuwa sio ndege zote zinazoruka ndani ya nchi huendeshwa na rubani mmoja. Imesema ndege kubwa za abiria zinazotoa huduma ya usafiri kwa ratiba ndani ya nchi, lazima...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utumizi wa ndege zisizo na rubani US

Shirika linalosimamia anga za juu Marekani limesema kuwa litashirikiana na kampuni nyengine tatu ili kulisaidia katika kupanua utumizi wa ndege hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya rubani wa ndege yachunguzwa

Polisi wa Ujerumani wamegundua kile wanachosema kitawasaidia kubaini kiini cha rubani msaidizi Andreas Lubitz, kuangusha ndege

 

10 years ago

Mwananchi

Ndege ya Clinton yapata hitilafu angani

Dar/Dom. Ndege iliyokuwa imembeba rais mstaafu wa Marekani, Bill Clinton na mwanaye Chelsea, juzi ilipata hitilafu katika moja ya injini zake na kulazimika kutua Dodoma kwa ajili ya matengenezo kabla ya kuendelea na safari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege zisizo na rubani kutumiwa Mali

Ndege zisizo na rubani zitaanza kutumiwa na Umoja wa Mataifa nchini Mali kukabiliana na utovu wa usalama eneo la Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani