Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya India iliyokuwa na abiria 280 yashuka futi 5000 angani baada ya rubani kusinzia

Mamlaka ya anga nchini India inachunguza tukio la hatari lililotokea Agosti 8, baada ya ndege ya Jet Airways Boeing 777-300 iliposhuka angani kwa zaidi ya futi 5000 (mita 1500) kutoka kwenye urefu waliopangiwa kuruka baada ya rubani wake kusinzia. Tukio hilo lilitokea wakati ndege hiyo ikifanya safari kutoka Mumbai, India kwenda Brussels, Ubelgiji. Times of […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kashkashi angani: Rubani awehuka, ateka ndege yake mwenyewe

Rubabi huyo alitenda kitendo hicho cha ajabu kama njia ya kujaribu kuomba hifadhi ya kisiasa nchini Uswisi.

 

10 years ago

Vijimambo

Angalia walichokutana nacho angani hawa abiria wa ndege

Abiria wa ndege, wakati wako angani maeneo ya jiji la San Francisco, California, walistaajabishwa kwa kukutana na chombo cha kwenda kwenye space kama mwezini n.k (spaceship) iliyokuwa imeambatanishwa kwenye Virgin Galactic’s White Knight, ndege maalum ya kukinyanyua chombo hicho mpaka kifikie mwinuko wa kukizinduaSpaceship hiyo (katikati) ikiwa imebebwa na ndege maalum ya kuisaidia kuzinduka kuelekea kwenye space

 

9 years ago

MillardAyo

Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya..

Matukio yameendelea kuchukua headlines India.. ukiachia lile tukio la joto kali lililofanya watu kushindwa kuvumilia  na kukaa ndani ya maji wakihofia maisha yao huku wengine wakipoteza maisha kutokana na joto kali kuna hii nyingine imetokea huko. Ndege ya Air India ambayo ilikua ikitoka Mumbai kuelekea London, Uingereza ililazimika kugeuza safari  ikiwa na abiria wake 171 na […]

The post Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya.. appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto

20151216043112

Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.

20151216043112
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa

Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.

20151216043106

Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.

Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.

20151216043059
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal

20151216043010

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

11 years ago

GPL

SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000

Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA NI MOJA KATI YA ABIRIA WALIOKUWEMO KWENYE NDEGE YA AMERICAN ILIYOTUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU LA MBELE KUPATA PANCHA


Ndege ya shirika la ndege la American iliyokua ikisafiri kutoka Houston Texas kuelekea Baltimore siku ya Jumatatu Sept 29, 2014 mida ya jioni na iliyokua imebeba abiria 140 akiwemo Mtanzania Baraka Daudi ilibidi itue kwa dharura kwenye uwanja huo wa Houston baada ya rubani wa ndege hiyo kugundua gurudumu la mbele (norse gear) kutokua na upepo. Baada ya rubani kudua hitilafu hiyo aliwasiliana na mnara wa kuongozea ndege wa uwanja huo wa Houston wajaribu kuingalia ndege hiyo kwa ukaribu zaidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia

Kwa mara ya kwanza katika historia Kombe la Dunia mashabiki wa soka watakaosafiri kwa ndege watashuhudia mechi zote 64 moja kwa moja mechi za michuano hiyo wakiwa angani.

 

11 years ago

Bongo5

Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka

Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers na kuripotiwa kupotea kwenye radar mapema leo, imethibitishwa kuwa imeanguka. Msako wa kutafuta mabaki ya ndege hiyo unaendelea na ilikuwa na abiria zaidi ya 100 na wafanyakazi 6. Awali mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga ilisema ilipoteza mawasiliano na ndege […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani