Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia
Kwa mara ya kwanza katika historia Kombe la Dunia mashabiki wa soka watakaosafiri kwa ndege watashuhudia mechi zote 64 moja kwa moja mechi za michuano hiyo wakiwa angani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
11 years ago
Michuzi
Wawili kushuhudia kombe la dunia kupitia shindano la Kwea Pipa na TBC

11 years ago
Michuzi
Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia
11 years ago
GPL
RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA
11 years ago
Tanzania Daima09 May
TBC kurusha ‘live’ Kombe la Dunia
SHIRIKA la Utangazaji la Taifa (TBC), linatarajia kurusha moja kwa moja ‘live’ mashindano ya Kombe la Dunia kwa mechi zote 64 zitakazochezwa nchini Brazil. Michuano hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi...
11 years ago
Michuzi
ANGALIA MECHI YA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA LIVE MTANDAONI!

11 years ago
Michuzi
ANGALIA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE SASA - PORTUGAL VS GERMANY

KUANGALIA MTANANGE HUU LIVE MTANDAONI BOFYA HAPA
Angalizo: Cheki ratiba hapo chini kujua muda na mechi zitazochezwa badae
11 years ago
Vijimambo
Angalia walichokutana nacho angani hawa abiria wa ndege

9 years ago
MillardAyo31 Dec
Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya..
Matukio yameendelea kuchukua headlines India.. ukiachia lile tukio la joto kali lililofanya watu kushindwa kuvumilia na kukaa ndani ya maji wakihofia maisha yao huku wengine wakipoteza maisha kutokana na joto kali kuna hii nyingine imetokea huko. Ndege ya Air India ambayo ilikua ikitoka Mumbai kuelekea London, Uingereza ililazimika kugeuza safari ikiwa na abiria wake 171 na […]
The post Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya.. appeared first on...