RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkPIv-vcpowaK0RR2jTHavgxx9edzshiBpBPUXzZH7GJT8uCBxSFuW0eVXIlTPUSKIhaPpPLLubWfoP-jzH*rCt/kenya1.jpg?width=650)
Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta akitoa hotuba yake katika Ikulu ya Nairobi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars aliyoipa ofa ya kwenda ziara ya mafunzo kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil. Rais Kenyatta akiongea na wachezaji wa Harambee Stars.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UirNpLGaL-M/U5twbeRemEI/AAAAAAAFqdw/-AsGMr7QIog/s72-c/10383571_858382170857004_7538480957319557371_n.jpg)
Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s72-c/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
kombe la dunia laanza kwa brazil kuichapa croatia 3-1 katika mchezo unaolalamikiwa kuwa wenyeji wamebebwa na refa
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s1600/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fg1g12Za-pM/U4llwAevQYI/AAAAAAAFmqE/TID1y9Yj67k/s72-c/tbc2bc.jpg)
Wawili kushuhudia kombe la dunia kupitia shindano la Kwea Pipa na TBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fg1g12Za-pM/U4llwAevQYI/AAAAAAAFmqE/TID1y9Yj67k/s1600/tbc2bc.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRiVXDIl5dE/U5tHtaBRYXI/AAAAAAAFqb8/oSTNl6ktnl0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s72-c/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
kombe la dunia brazil?
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s1600/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z162oVsMbik/U5qozd4We1I/AAAAAAAFqQY/ZEkvhGsuSns/s1600/f10db12d9ddf2ffdb8da742209b62024.jpg)