Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Waafrika watano kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2014
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Fainali za Kombe la Dunia 2014: Udhaifu, wasiwasi wa kila timu itakayoshiriki
11 years ago
GPL11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Skylight Band waendelea kutoa burudani ya kipekee ndani ya Thai Village huku ukishuhudia mechi za Kombe la Dunia Live!
Meneja wa Bendi Aneth Kushaba AK47 kwenye hisia kali wakati akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku Hashim Donode akipiga back vocal. TUKUTANE THAI VILLAGE LEO USIKU KUANZIA SAA TATU BILA KUKOSA.
Digna Mbepera akiimba kwa hisia huku Aneth Kushaba AK47 akimpa sapoti.
Divas watatu wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita. Kutoka kushoto ni Digna Mbepera,...
11 years ago
MichuziWawili kushuhudia kombe la dunia kupitia shindano la Kwea Pipa na TBC
11 years ago
GPLSKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE NDANI YA THAI VILLAGE HUKU UKISHUHUDIA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE!
11 years ago
GPLRAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA