Wawili kushuhudia kombe la dunia kupitia shindano la Kwea Pipa na TBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fg1g12Za-pM/U4llwAevQYI/AAAAAAAFmqE/TID1y9Yj67k/s72-c/tbc2bc.jpg)
Wakazi wawili wa Dar es Salaam wamejishindia tiketi za kwenda nchini Brazil kuona moja ya mechi za kombe la Dunia kupitia promosheni ya Kwea Pipa na televisheni ya Taifa ya TBC kwa kushirikiana na kampuni ya Push Mobile Media Limited.
Washindi hao ni Donald Milinde Shija (34) mkazi wa Mabibo jijini ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya Davis and Shirtliff na mshindi mwingine ni Shaban Athumani Saidi (22) mkazi wa Banana-Kitunda ambaye ni fundi pampu.
Kaimu Mkurugenzi wa TBC, Suzan Mungy...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Jun
Mkazi wa Sinza kuona Kombe la Dunia kupitia promosheni ya Kwea Pipa na TBC
Na Mwandishi Wetu
Promosheni ya Kwea Pipa na televisheni ya Taifa ya TBC kwa kushirikiana na kampuni ya Push Mobile Media Limited imezidi kupamba moto baada ya mshindi mmoja zaidi kupatikana.
Deocary Mkenda ambaye ni mkazi wa Sinza ameungana na wenzake wawili ambao wamekwisha zawadiwa tiketi zao na sasa kampuni ya Push Mobile Media Limited inawatafutia pasipoti kwa ajili ya kusafri na kuona mechi ya Brazil na Cameroon Juni 23 mjini Rio de Janeiro.
Mkenda (35) ambaye ni Mhasibu katika...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mkazi wa Sinza Kwea Pipa na TBC
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia
11 years ago
Tanzania Daima09 May
TBC kurusha ‘live’ Kombe la Dunia
SHIRIKA la Utangazaji la Taifa (TBC), linatarajia kurusha moja kwa moja ‘live’ mashindano ya Kombe la Dunia kwa mechi zote 64 zitakazochezwa nchini Brazil. Michuano hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi...
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QiY3WI4r0PU/U8OmucESBSI/AAAAAAAA9XE/t134LhVqvn4/s72-c/IMG_1088.jpg)
TBC YAFANYA HALFA YA KUHITIMISHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA 2014, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QiY3WI4r0PU/U8OmucESBSI/AAAAAAAA9XE/t134LhVqvn4/s1600/IMG_1088.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4PikGLmtN4/U8Omw7nLbkI/AAAAAAAA9XM/r4CtHA-o32k/s1600/IMG_1096.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkPIv-vcpowaK0RR2jTHavgxx9edzshiBpBPUXzZH7GJT8uCBxSFuW0eVXIlTPUSKIhaPpPLLubWfoP-jzH*rCt/kenya1.jpg?width=650)
RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UirNpLGaL-M/U5twbeRemEI/AAAAAAAFqdw/-AsGMr7QIog/s72-c/10383571_858382170857004_7538480957319557371_n.jpg)
Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DXP3cusISYc/U2xt7F97b-I/AAAAAAAFgbE/33OpcSBU4-w/s1600/unnamed.jpg)
TBC yaanza mchakato wa kuwapata washindi watano wa kwenda kuangalia michezo ya Kombe la Dunia nchini Brazil