TBC yaanza mchakato wa kuwapata washindi watano wa kwenda kuangalia michezo ya Kombe la Dunia nchini Brazil
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXP3cusISYc/U2xt7F97b-I/AAAAAAAFgbE/33OpcSBU4-w/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana akiwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mchakato wa kuwapata washindi watano watakaokwenda kuangalia michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil kupitia promosheni ya Kwea Pipa inayoendeshwa na TBC kwa kushirikiana na makampuni ya Push Mobile Media Ltd na Star Times Ltd. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu Masoko na Mauzo kutoka Star Times Jack Zhou na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Push Mobile Media...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MCHAKATO WA KUWAPATA WASHINDI KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAENDELEA
11 years ago
Michuzi03 Mar
Siku za kwenda Brazil Kombe la Dunia zinahesabika
![FIFA-World-Cup-2014-Brazil](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/FIFA-World-Cup-2014-Brazil.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Wawili Geita, Bunda washinda kwenda Kombe la Dunia Brazil
MAWAKALA wawili wa Nyanza Bottlers Ltd, wamejishindia tiketi za kwenda kushuhudia ‘live’ Kombe la Fifa la Dunia nchini Brazil. Washindi hao ni Simon Charles kutoka Katoro, Geita na Salum Yahya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gog-T69WYao/U7BfTHWAGFI/AAAAAAAFtgk/aVs9PEzHOjs/s72-c/article-2673148-1F3648D200000578-549_636x382.jpg)
Nike yaongoza mtanange wa makampuni ya vifaa vya michezo katika kombe la dunia Brazil
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gog-T69WYao/U7BfTHWAGFI/AAAAAAAFtgk/aVs9PEzHOjs/s1600/article-2673148-1F3648D200000578-549_636x382.jpg)
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil. Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57. Lakini Adidas wanaweza kupata ahueni kwa kuwa na njumu bora,...
11 years ago
GPL11 years ago
Michuzi17 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oPEFhmaRetwTPqWQGPD6DxPGax96PavkLNqsPMGFGvBPkbgQjsDgWgjOrr*O-LFkM-mzEZXPoAchGxOeJnDEQHk/KOMBELADUNIA.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T9LcgqpCilA/U6fspCnnbVI/AAAAAAAFsZg/gJl835QuLqA/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6MzBg2tyzQg/U5iQKtVwiCI/AAAAAAAFpyg/7KKrijsDOyg/s72-c/unnamed+(1).png)