Nike yaongoza mtanange wa makampuni ya vifaa vya michezo katika kombe la dunia Brazil
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gog-T69WYao/U7BfTHWAGFI/AAAAAAAFtgk/aVs9PEzHOjs/s72-c/article-2673148-1F3648D200000578-549_636x382.jpg)
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil.
Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DXP3cusISYc/U2xt7F97b-I/AAAAAAAFgbE/33OpcSBU4-w/s1600/unnamed.jpg)
TBC yaanza mchakato wa kuwapata washindi watano wa kwenda kuangalia michezo ya Kombe la Dunia nchini Brazil
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Vijimambo vya Kombe la Dunia Brazil 2014
Na Eleuteri Mangi-Maelezo
Mashindano ya soka kombe la dunia yanaendelea kunoga na kupamba moto nchini Brazil yakijumuisha jumla ya wachezaji 892 wanaoshiriki mashindano wa mpira wa miguu duniani maarufu “Fifa World Cup” ya mwaka 2014.
Mashindano hayo yamepambwa na majina ya mbalimbali ya wachezaji kutoka nchi zinzoshiriki kinyang’anyiro hicho kwa mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa FIFA, wachezaji wenye majina yenye herufi “M” ndio wanaoongoza kwa idadi kubwa katika michuano hiyo ambao...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mwalimu Mkenya katika kombe la dunia Brazil
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s72-c/_75408959_450202030.jpg)
Ingizo jipya katika kombe la dunia Brazil: alama ya chaki ya kupulizia inayoyeyuka....
![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s1600/_75408959_450202030.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0XDp8HFEIQk/U5pn7pYAJeI/AAAAAAAFqP4/0xxWNM6zoFA/s1600/_75493664_hi022659618.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s72-c/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
kombe la dunia laanza kwa brazil kuichapa croatia 3-1 katika mchezo unaolalamikiwa kuwa wenyeji wamebebwa na refa
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7GkAurPhS0/U5pG9NV4tqI/AAAAAAAFqNo/FyhTF39e8ko/s1600/article-2656584-1EB74BF000000578-707_964x386.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d5WIUs01U-I/U46cnOzTsJI/AAAAAAAAEZs/fASURbzZWPc/s72-c/BRAZIL_2014_ORIJINO11.png)
PATA VIKOSI VYA KILA TIMU KATIKA KOMBE LA DUNIA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-d5WIUs01U-I/U46cnOzTsJI/AAAAAAAAEZs/fASURbzZWPc/s1600/BRAZIL_2014_ORIJINO11.png)
KUNDI A Brazil
![](http://1.bp.blogspot.com/-lOMXS3zNTd8/U46isavs4uI/AAAAAAAAEZ8/Kg9XV6cIw20/s1600/Brazil-Squad.jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM