dstv kuendelea kurusha live mtanange wa Brazil vs Ujerumani katika hatua ya nusu fainali

Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
brazil yaipiga columbia 2-1 kuingia nusu fainali, kupambana na Ujerumani Jumanne

Hivyo ngoma imeisha...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro
Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Brazil imefuzu kwa nusu fainali.
11 years ago
Michuzi
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa

Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali