brazil yaipiga columbia 2-1 kuingia nusu fainali, kupambana na Ujerumani Jumanne
![](http://1.bp.blogspot.com/-IEFAcZYya18/U7clPnqoJbI/AAAAAAAFvG4/FNnKo0kIGIY/s72-c/article-2681056-1F65C6AF00000578-24_964x496.jpg)
Ngoma imeisha katika uwanja wa Fortazleza na wenyeji Brazil wamepita robo fainali tayari kupambana na Ujerumani siku ya Jumanne. Thiago Silva alifungua njia kwa bao la kwanza nadni ya dakika 10 za mwanzo kabla ya David Luiz kupiga mpira mkali wa adhabu kuiweka Brazil katika mkao wa kula. Mshambuliaji hatari wa Columbia James Rodriguez aliweka bao la kupunguza maumivu kwa njia ya penati baada ya kipa wa Brazil Julio Cezar kumfanyia madhambi Bacca wa Columbia ndani ya boxi.
Hivyo ngoma imeisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YFnEX9mVgd8/U7qVNqAo3iI/AAAAAAAFvfk/_4nMABi22m4/s72-c/DStv-FWC-08+07+2014-Michuzi+Blog+Banner.png)
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Michuano ya ACL kuingia nusu fainali
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Brazil imefuzu kwa nusu fainali.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lRvnHHysUPs/U-89XEJqcSI/AAAAAAAGAAY/bw42Wqi8S98/s72-c/unnameda.jpg)
MAZABE POWDER WATAMBA KUINGIA NUSU FAINALI YA DANCE 100%CHINI YA VODACOM TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRvnHHysUPs/U-89XEJqcSI/AAAAAAAGAAY/bw42Wqi8S98/s1600/unnameda.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n5zt7LgE7_4/U-8-cvltIXI/AAAAAAAGAAo/TrizE1rn6M0/s1600/unnamedb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3DUe0pDcX30/U-89WqePWnI/AAAAAAAGAAU/CeGtQhW9IxM/s1600/unnamedc.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLAD1lSUv32dN0fNWrvmfc6xfTtmzbafGj0BLDGUN9mz*KFcBNyaDDZwvUzvXInQ0J9SNS*-fsGGkWfj03m9IlH/001.TEGETA.jpg?width=650)
MAZABE POWDER WATAMBA KUINGIA NUSU FAINALI YA DANCE 100% CHINI YA VODACOM TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
11 years ago
GPL