Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto

20151216043112

Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.

20151216043112
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa

Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.

20151216043106

Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.

Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.

20151216043059
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal

20151216043010

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MELI YA MV. ROYAL ILIYOKUWA IKITOKEA UNGUJA KUELEKEA PEMBA YANUSURIKA KUWAKA MOJA LEO

Meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba, ilipata hitilafu iliyopelekea kuwakawa moto kwa moja ya Injini zake muda mfupi uliopita, kwa Bahati nzuri Meli ya Mv. Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda unguja ilifika eneo la tukio na kuikuta Meli hiyo na kuanza kutoa msaada wa kuwahamisha abiria waliokuwepo kwenye Meli hiyo na huku shughuli za uzimaji moto na uokozi ikifanyika.Globu ya Jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na tutaendelea kuwajuza hapa hapa.Zoezi la Uokozi wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Abiria 300 wa boti wanusurika ajali ya moto

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM

ABIRIA 300 wamenusurika kufa baada ya Boti ya Royal waliyokuwa wakisafiria kutoka Kisiwa cha Unguja kwenda Pemba baada ya boti hiyo mali ya Kampuni ya Ocean Enterprises kuwaka moto  ikiwa baharini.

Tukio hilo lilitokea nyakati za mchana katika eneo la Matumbini wakati ikielekea kuwasili katika Bandari ya Mkoani, Kisiwani Pemba.

Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana kutoka Unguja, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri Zanzibar, Omar Maalim alisema ajali...

 

10 years ago

Vijimambo

MELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA

Meli ya Mv Maendeleo iyokuwa iliyokuwa inataka kwenda Unguja ikitokea Pemba  imekwama kwa muda wa masaa kadha katika eneo la bandari ya Mkoani Kisiwani Pemba kutokana na kukwama katika fungu la mchanga na kushindwa kuondoka.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari, kufuatai tukio la meli ya Mv Maendeleo kukwama katika fungu la mchanga na kushindwa kuondoka asubuhi hadi jioni...

 

9 years ago

Global Publishers

Meli ya MV Royal yawaka moto Bahari ya Hindi

meli

Vikosi vya uokoaji vikizima mato uliozuka katika Meli ya MV Royal leo.

meli 2

Abiria wakitolewa katika Meli ya MV Royal na kuwekwa kwenye MV Serengeti.

Meli ya MV Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba imewaka moto leo ikiwa majini katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ni kwamba chanzo cha moto huo ni hitilafu iliyotokea katika injini ya meli hiyo.

Meli ya MV Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja inaendelea na zoezi la uokoaji katika meli hiyo. 

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 300 wanusurika kifo wilayani Mwanga

Familia za zaidi ya watu 300 zimenusurika vifo wilayani Mwanga baada ya mvua iliyoambatana na upepo kuezua mapaa ya nyumba zao 110 .

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria 29 wanusurika kifo Moro

 Abiria 29 wa mabasi mawili tofauti wamejeruhiwa na kunusurika kifo katika ajali zilizotokea eneo la Mikese na Mkambarani Wilaya ya Morogoro Barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam juzi.

 

11 years ago

GPL

ABIRIA WANUSURIKA KIFO WAKISUBIRI USAFIRI

Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria 213 wa Ethiopian Airlines wanusurika kifo Arusha

Abiria 213 waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia jana walinusurika kifo baada ya ndege hiyo kutua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha.

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Basi la abiri latumbukia mtoni,Abiria wanusurika kifo

Na Amiri kilagalila,Njombe

Watu 13 wamenusurika kifo baada ya basi la abiri lenye namba za usajili T 802 DEZ kampuni ya Dosmeza linalofanya safari zake Njombe-Iringa kuacha njia na kutumbukia mto Ichunilo June 11,2020 majira ya saa moja na dakika hamsini,baada ya kumaliza mteremko mkali wa Ruhuji mjini Njombe.

Akizungumza mara baada ya kupokea majeruhi wa ajali,Mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa Njombe (Kibena) Dkt,Alto Damas Mtega,amesema walipokea majeruhi 13 na kuwapa huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Zinazosomwa Sasa

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani

Used TOYOTA Cars for Sale