Abiria 213 wa Ethiopian Airlines wanusurika kifo Arusha
Abiria 213 waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia jana walinusurika kifo baada ya ndege hiyo kutua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Abiria 29 wanusurika kifo Moro
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsumnu6KL56k39swrccFsHU86Nz5vPN4KbKhAhc4iPayYqvKt3Pf2WH4ZEoz88n1MYPYa3MNnQ7UUz6s8HrCRDDO-/IMG20140812WA0017.jpg?width=650)
ABIRIA WANUSURIKA KIFO WAKISUBIRI USAFIRI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eIRk9In8txY/VIFjFJSkq3I/AAAAAAAG1W8/QVNKDacK3bA/s72-c/10671229_947072891986888_1214725897795206556_n.jpg)
NEWS ALERT: ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eIRk9In8txY/VIFjFJSkq3I/AAAAAAAG1W8/QVNKDacK3bA/s1600/10671229_947072891986888_1214725897795206556_n.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3zFsJV0XWKWVFlZlYZnQvXorfPlH8Ly-3wiAsDHhFgT*I*03W29TZcqvLAsgWdB8NccL3dqaSryIA-8pDZ74H7b/ajali4.jpg?width=650)
ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA
5 years ago
MichuziNjombe:Basi la abiri latumbukia mtoni,Abiria wanusurika kifo
Watu 13 wamenusurika kifo baada ya basi la abiri lenye namba za usajili T 802 DEZ kampuni ya Dosmeza linalofanya safari zake Njombe-Iringa kuacha njia na kutumbukia mto Ichunilo June 11,2020 majira ya saa moja na dakika hamsini,baada ya kumaliza mteremko mkali wa Ruhuji mjini Njombe.
Akizungumza mara baada ya kupokea majeruhi wa ajali,Mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa Njombe (Kibena) Dkt,Alto Damas Mtega,amesema walipokea majeruhi 13 na kuwapa huduma ya...
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
10 years ago
TheCitizen22 Jan
AVIATION: Ethiopian Airlines sees brighter 2015
5 years ago
BBC10 Mar
Ethiopian Airlines crash: 'I saw body parts being taken in white bags'
10 years ago
Michuzi10 Dec
Ethiopian Airlines Flies Zuriel to Documentary Releases in Africa and Europe