NEWS ALERT: MELI YA MV. ROYAL ILIYOKUWA IKITOKEA UNGUJA KUELEKEA PEMBA YANUSURIKA KUWAKA MOJA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uLtK2PVjqXg/VnE04e6WTaI/AAAAAAAIMsI/cxZ_J47XECI/s72-c/20151216015227.jpg)
Meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba, ilipata hitilafu iliyopelekea kuwakawa moto kwa moja ya Injini zake muda mfupi uliopita, kwa Bahati nzuri Meli ya Mv. Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda unguja ilifika eneo la tukio na kuikuta Meli hiyo na kuanza kutoa msaada wa kuwahamisha abiria waliokuwepo kwenye Meli hiyo na huku shughuli za uzimaji moto na uokozi ikifanyika.Globu ya Jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na tutaendelea kuwajuza hapa hapa.Zoezi la Uokozi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s72-c/bye1.jpg)
NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
10 years ago
VijimamboMELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s72-c/c.png)
NEWS ALERT: VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s640/c.png)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kuwa kuanzia leo tarehe 10 Septemba 2015, na katika kipindi chote cha kampeni za uchaguzi mkuu 2015, watu ambao sio wagombea wa udiwani, ubunge, urais, wasemaji rasmi wa vyama au watu wasioteuliwa na vyama vya siasa kama wawakilishi hawataruhusiwa kushiriki katika vipindi vya moja kwa moja (Live Programmes) vinavyohusu shughuli za uchaguzi vitakavyorushwa na vituo vya utangazaji.
Utaratibu huu unazingatia Kanuni Za Huduma Za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIbwni2OPnA/VJiURzEbUXI/AAAAAAAG5IY/XlIu69ch3kA/s72-c/unnamed%2B(17)%2Bcopy.jpg)
NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uFBCAEekLv7awgoVQQfivl61jCvobbp95qm4HzEhNnTZ0AiVQW2krSioY0oqqy7sa52xPvDXVayMUkGXVZmnFT/CHINA2.jpg?width=650)
MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KOMREDI KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 15 KISIWANI UNGUJA NA PEMBA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s1600/7.jpg)
Kinana amemaliza ziara ya siku 15 katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar ambapo amekagua na kushiriki ujenzi katika miradi 40 mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zVtgAuIt5gM/VMOCltZO-RI/AAAAAAACyX8/kO8z_2yWLOA/s72-c/11.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA KUHITIMISHA ZIARA YAKE LEO KISIWANI UNGUJA KESHO KUUNGURUMA PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVtgAuIt5gM/VMOCltZO-RI/AAAAAAACyX8/kO8z_2yWLOA/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FRLgDc76-08/VMOCx7Ob2YI/AAAAAAACyYk/oV1RiCHkdlE/s1600/14.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s1600/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo9dcUps4VM/VHnA7xUxiPI/AAAAAAAG0G0/7Rsrdnubbt4/s1600/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKJwAPs9fCQ/VHnA8Fa9yMI/AAAAAAAG0G8/MEVQBqyj2Jg/s1600/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P02KPTQ8OPw/VHnA8b34RhI/AAAAAAAG0G4/oVUhEXKFl-s/s1600/IMG-20141129-WA0014.jpg)