MELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA
Meli ya Mv Maendeleo iyokuwa iliyokuwa inataka kwenda Unguja ikitokea Pemba imekwama kwa muda wa masaa kadha katika eneo la bandari ya Mkoani Kisiwani Pemba kutokana na kukwama katika fungu la mchanga na kushindwa kuondoka.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 May
BAADA YA KUKWAMA KWA MASAA KADHAA, MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA UNGUJA
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/11216199_10155504285140247_2131628701_n.jpg?oh=aa0ab3f515e061d8c5bedbaa63222370&oe=5550CC7B)
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka bandarini Unguja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari nchini Marekani (ZADIA) Bwana Omar Haji Ali, Afisa wa ngazi za juu katika MV Maendeleo alithibitsha kuwa meli hiyo imetia nanga...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: 'Mkosi' meli ya utalii iliokataliwa na bandari tano hatimaye yatia nanga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s72-c/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Meli Kubwa yenye Urefu wa Mita 244 yatia nanga Bandari ya Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s1600/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka, Mhandisi Madeni Kipande amesema, mafanikio hayo ni juhudi zilizofanywa na Mamlaka kuzitangaza bandari zake pamoja na uboreshwaji wa huduma.
“Ujio huu wa meli kubwa za mizigo kama hizi ni faraja kubwa sana kwetu kwani pia utaongeza uingiaji wa mizigo kwa wingi na hatimaye kuleta unafuu kwa...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Meli kubwa zaidi duniani yatia nanga UK
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
MELI YA UTALII HATIMAYE YATIA NANGA CAMBODIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s640/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa bandari kuhusu uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
Meli hiyo kwa jina MS Westerdam ilizuiwa kutia ngana katika bandari tano barani Asia. Meli nyengine ya kitalii iliotengwa nchini Japan ina zaidi ya maambukizi 200.
Lakini Westerdam ilio na...
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ctji6OGamAY/VMP0r03ZDyI/AAAAAAACyaw/_tn7PfJOKX0/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GjL_wqY7lAA/VMP0l6gdbhI/AAAAAAACyao/FIXQQLLlgt0/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-75ydcxwb_AI/VMP00NUjv_I/AAAAAAACya4/wVVMpGASCI4/s1600/7.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s72-c/22.jpg)
BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s400/22.jpg)
Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI KISIWANI ZANZIBAR NA KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA