BAADA YA KUKWAMA KWA MASAA KADHAA, MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA UNGUJA
Na Mwandishi Wetu, SwahilivillaMeli ya Mv Maendeleo imetia nanga salama katika bandari ya Unguja ikitokea kisiwani Pemba baada ya kukwama kwa muda wa masaa kadha katika eneo la bandari ya Mkoani. Mv Maendeleo ikiwa imetegesha katika katika eneo la bandari ya Mkoani Pemba.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka bandarini Unguja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari nchini Marekani (ZADIA) Bwana Omar Haji Ali, Afisa wa ngazi za juu katika MV Maendeleo alithibitsha kuwa meli hiyo imetia nanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
MELI YA UTALII HATIMAYE YATIA NANGA CAMBODIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s640/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa bandari kuhusu uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
Meli hiyo kwa jina MS Westerdam ilizuiwa kutia ngana katika bandari tano barani Asia. Meli nyengine ya kitalii iliotengwa nchini Japan ina zaidi ya maambukizi 200.
Lakini Westerdam ilio na...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Meli kubwa zaidi duniani yatia nanga UK
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: 'Mkosi' meli ya utalii iliokataliwa na bandari tano hatimaye yatia nanga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s72-c/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Meli Kubwa yenye Urefu wa Mita 244 yatia nanga Bandari ya Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s1600/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka, Mhandisi Madeni Kipande amesema, mafanikio hayo ni juhudi zilizofanywa na Mamlaka kuzitangaza bandari zake pamoja na uboreshwaji wa huduma.
“Ujio huu wa meli kubwa za mizigo kama hizi ni faraja kubwa sana kwetu kwani pia utaongeza uingiaji wa mizigo kwa wingi na hatimaye kuleta unafuu kwa...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Dkt Magufuli arejea jijini Dar baada ya kujitambulisha mikoa kadhaa, apokelewa kwa kishindo
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIGDl_Wfvmw/VbMzBf6d6EI/AAAAAAAHrmA/P-rjwKvN46M/s640/17.jpg)
Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Chalinze (hawapo pichani) alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani Dodomaakitokea Mkoani Dodoma. (PICHA NA MICHUZI JR-MICHUZI MEDIA GROUP).
![](http://3.bp.blogspot.com/-CLexGJY2kyw/VbMy3RENKZI/AAAAAAAHrlY/NvgzGsgM6Kk/s640/11.jpg)
Wakazi wa Bagamoyo wakimsikiliza Dkt Magufuli wakati alipokuwa akijitambulisha kwao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MjrWqLbVKTA/VbMy0kmeaxI/AAAAAAAHrlQ/0Nhy8KGyydY/s640/12.jpg)
Mkazi wa Bagamoyo akifurahia jambo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jdqlc_pDlkg/VbMy5DW0XKI/AAAAAAAHrlg/9_0kdO7iIpg/s640/13.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IIGDl_Wfvmw/VbMzBf6d6EI/AAAAAAAHrmA/P-rjwKvN46M/s72-c/17.jpg)
DKT MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR BAADA YA KUJITAMBULISHA MIKOA KADHAA,APOKELEWA KWA KISHINDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIGDl_Wfvmw/VbMzBf6d6EI/AAAAAAAHrmA/P-rjwKvN46M/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CLexGJY2kyw/VbMy3RENKZI/AAAAAAAHrlY/NvgzGsgM6Kk/s640/11.jpg)