Meli kubwa zaidi duniani yatia nanga UK
Meli kubwa duniani ''The Globe'' imetia nanga Uingereza ikiwa katika safari maeneo mbalimbali duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s72-c/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Meli Kubwa yenye Urefu wa Mita 244 yatia nanga Bandari ya Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s1600/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka, Mhandisi Madeni Kipande amesema, mafanikio hayo ni juhudi zilizofanywa na Mamlaka kuzitangaza bandari zake pamoja na uboreshwaji wa huduma.
“Ujio huu wa meli kubwa za mizigo kama hizi ni faraja kubwa sana kwetu kwani pia utaongeza uingiaji wa mizigo kwa wingi na hatimaye kuleta unafuu kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
MELI YA UTALII HATIMAYE YATIA NANGA CAMBODIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s640/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa bandari kuhusu uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
Meli hiyo kwa jina MS Westerdam ilizuiwa kutia ngana katika bandari tano barani Asia. Meli nyengine ya kitalii iliotengwa nchini Japan ina zaidi ya maambukizi 200.
Lakini Westerdam ilio na...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: 'Mkosi' meli ya utalii iliokataliwa na bandari tano hatimaye yatia nanga
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
10 years ago
VijimamboMELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA
10 years ago
Michuzi10 May
BAADA YA KUKWAMA KWA MASAA KADHAA, MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA UNGUJA
Na Mwandishi Wetu, SwahilivillaMeli ya Mv Maendeleo imetia nanga salama katika bandari ya Unguja ikitokea kisiwani Pemba baada ya kukwama kwa muda wa masaa kadha katika eneo la bandari ya Mkoani.
Mv Maendeleo ikiwa imetegesha katika katika eneo la bandari ya Mkoani Pemba.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka bandarini Unguja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari nchini Marekani (ZADIA) Bwana Omar Haji Ali, Afisa wa ngazi za juu katika MV Maendeleo alithibitsha kuwa meli hiyo imetia nanga...
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/11216199_10155504285140247_2131628701_n.jpg?oh=aa0ab3f515e061d8c5bedbaa63222370&oe=5550CC7B)
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka bandarini Unguja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari nchini Marekani (ZADIA) Bwana Omar Haji Ali, Afisa wa ngazi za juu katika MV Maendeleo alithibitsha kuwa meli hiyo imetia nanga...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Meli ya Rais Magufuli yang’oa nanga; tufani, nyangumi wamngojea
MASIKINI Rais, John Magufuli, anachukua uongozi wa nchi katikati ya bahari iliyochafuka kwa tufan
Joseph Mihangwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uvEzzlZH0-Q/U4HkbhYg4ZI/AAAAAAAFk6g/MVdpqO6CHyE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Meli za Jeshi la Uturuki Nchini kutia nanga Dar es salaam
Na Pascal Mayalla
Ziara ya Meli za Jeshi la Uturuki Nchini Tanzania. Meli Nne za Kijeshi za Uturuki kwa jina la Barbaros Turkish Maritime Task Group (TMTG) zinatarajiwa kutia nanga kwa wakati mmoja katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ziara ya kijeshi ya siku 4 ambao itahusisha maonyesho ya zana za kijeshi, mazoezi ya pamoja na jeshi la wanamaji la Tanzania, huduma za kijamii na ushirikiani wa kijeshi baina ya Uturuki na Tanzania.
Hayo yamebainishwa jiji Dar es Salaam na Balozi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3bspTb-m*4Il3nr4dk9bxAjjJg51kcDUgTgjKv6JrgTFBu67CObIJ62yr78pfH1aoKGP50emS59eFEsxW5CNZ5/FloydMayweather1.jpg?width=650)
MAYWEATHER MWANAMICHEZO ANAYELIPWA DAU KUBWA ZAIDI DUNIANI
Floyd Mayweather Jnr, akiwa katika gari lake aina ya Bugatti Vevron lenye thamani ya pauni milioni 1.8 ( sh bilioni 5) akiondoka katika Fainali za Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) huko Miami, Marekani.
Akiwa na mkwanja wakati anaondoka katika fainali za Ligi ya NBA.…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s72-c/22.jpg)
BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s400/22.jpg)
Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania