Meli ya Rais Magufuli yang’oa nanga; tufani, nyangumi wamngojea
MASIKINI Rais, John Magufuli, anachukua uongozi wa nchi katikati ya bahari iliyochafuka kwa tufan
Joseph Mihangwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Meli kubwa zaidi duniani yatia nanga UK
Meli kubwa duniani ''The Globe'' imetia nanga Uingereza ikiwa katika safari maeneo mbalimbali duniani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
MELI YA UTALII HATIMAYE YATIA NANGA CAMBODIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhhvoTdW6Jc/XkT3KWU7YTI/AAAAAAAAuy0/_s4rkOmuCrkpqBiMPmIZBE1qufRKzsyDgCLcBGAsYHQ/s640/_110885558_04ad9763-9534-47e2-bb5b-17839a89dfd5.jpg)
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa bandari kuhusu uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
Meli hiyo kwa jina MS Westerdam ilizuiwa kutia ngana katika bandari tano barani Asia. Meli nyengine ya kitalii iliotengwa nchini Japan ina zaidi ya maambukizi 200.
Lakini Westerdam ilio na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uvEzzlZH0-Q/U4HkbhYg4ZI/AAAAAAAFk6g/MVdpqO6CHyE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Meli za Jeshi la Uturuki Nchini kutia nanga Dar es salaam
Na Pascal Mayalla
Ziara ya Meli za Jeshi la Uturuki Nchini Tanzania. Meli Nne za Kijeshi za Uturuki kwa jina la Barbaros Turkish Maritime Task Group (TMTG) zinatarajiwa kutia nanga kwa wakati mmoja katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ziara ya kijeshi ya siku 4 ambao itahusisha maonyesho ya zana za kijeshi, mazoezi ya pamoja na jeshi la wanamaji la Tanzania, huduma za kijamii na ushirikiani wa kijeshi baina ya Uturuki na Tanzania.
Hayo yamebainishwa jiji Dar es Salaam na Balozi wa...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: 'Mkosi' meli ya utalii iliokataliwa na bandari tano hatimaye yatia nanga
Meli moja ya kitalii ambayo ilikuwa imekwama isijue pa kwenda baharini, kutokana na wasiwasi wa uwezekano wa kubeba abiria walioambukizwa virusi vya corona hatimaye imetia nanga nchini Cambodia.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s72-c/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Meli Kubwa yenye Urefu wa Mita 244 yatia nanga Bandari ya Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-VwR_twiLFf4/VNnAlj8TOJI/AAAAAAACzqg/ozv81GYnNas/s1600/Mv%2BMSC%2BMartina4.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka, Mhandisi Madeni Kipande amesema, mafanikio hayo ni juhudi zilizofanywa na Mamlaka kuzitangaza bandari zake pamoja na uboreshwaji wa huduma.
“Ujio huu wa meli kubwa za mizigo kama hizi ni faraja kubwa sana kwetu kwani pia utaongeza uingiaji wa mizigo kwa wingi na hatimaye kuleta unafuu kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s72-c/22.jpg)
BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s400/22.jpg)
Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...
10 years ago
VijimamboMELI YA MV MAENDELEO YATIA NANGA SALAMA BANDARI YA UNGUJA BAADA YA KUKWAMA KWA MUDA KISIWANI PEMBA
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Rais Magufuli aibua gumzo la ushabiki wake kati ya Simba na Yanga
Katika hali ambayo haikutarajiwa, leo kwa mara ya kwanza rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameshuhudiwa kuhudhuria mechi ya mpira wa mpira miguu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hvpooncoFEw/VAwlT3AoD_I/AAAAAAAGg0w/YFlT2abb4oQ/s72-c/unnamedA.jpg)
TIMU YA MAJAJI KWA AJILI YA KUMTAFUTA MSHINDI WA TUZO YA RAIS YA HUDUMA ZA JAMII NA UWEZESHAJI YATUA NANGA KATIKA MIKOA YA SIMIYU NA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hvpooncoFEw/VAwlT3AoD_I/AAAAAAAGg0w/YFlT2abb4oQ/s1600/unnamedA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ye0A2TWjsxY/VAwlVUhhLJI/AAAAAAAGg1E/7g7SzA1i5-0/s1600/unnamedB.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania