MAYWEATHER MWANAMICHEZO ANAYELIPWA DAU KUBWA ZAIDI DUNIANI
![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3bspTb-m*4Il3nr4dk9bxAjjJg51kcDUgTgjKv6JrgTFBu67CObIJ62yr78pfH1aoKGP50emS59eFEsxW5CNZ5/FloydMayweather1.jpg?width=650)
Floyd Mayweather Jnr, akiwa katika gari lake aina ya Bugatti Vevron lenye thamani ya pauni milioni 1.8 ( sh bilioni 5) akiondoka katika Fainali za Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) huko Miami, Marekani. Akiwa na mkwanja wakati anaondoka katika fainali za Ligi ya NBA.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Floyd mwanamichezo anayelipwa zaidi
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Meli kubwa zaidi duniani yatia nanga UK
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Je ni msanii yupi anayelipwa pesa nyingi zaidi ?
9 years ago
Bongo516 Dec
Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK
![1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.
Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.
Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.
Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil
9 years ago
Bongo527 Aug
Floyd Mayweather aonesha jeuri ya ‘parking’ ya magari aghali duniani!!
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...