ALICHOKISEMA BONDIO MAYWEATHER KUELEKEA MPAMBANO WA MASUMBWI UNAOSUBIRIWA KWA HAMU DUNIANI KOTE
![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Mar
MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015
![](https://1.bp.blogspot.com/-r0CQbktzLh0/VQrDoPijvkI/AAAAAAAAHCo/9BUQDY8MHDw/s1600/11073562_836973369682141_7670068943810083201_n.jpg)
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti
ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s72-c/unnamed+(87).jpg)
MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s1600/unnamed+(87).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s72-c/untitled.png)
Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.
Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s1600/untitled.png)
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s72-c/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s1600/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s72-c/tzNIC2.png)
Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote
Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona.
Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s640/tzNIC2.png)
Badala ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbfoVQEI5u2-*TQOXYPu4SOvIs73FSnwptrxKMb1it10Jm4U*WvZezBqN8twR20LnZWmqHEHZjIHPGKoH5rxJuUc/1.jpg?width=650)
MASTAA WALIOHUDHURIA MPAMBANO WA KARNE KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO
Beyonce na Jay Z wakifuatilia mpambano wa Floyd Mayweather na Manny Pacquiao.
Justin Bieber katika pozi na Floyd Mayweather kabla ya pambano lake dhidi ya Manny Pacquiao leo alfajiri. Bondia wa zamani, Mike Tyson akiwa ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI0NvnsB5MjQkU10It0XV85Cbxq*Nq**X2R4XkaYyDpDMNhBmkXF5O8z5R3N9-LiCVPGY85niZjIMKGjbCKD4UtM/bayless.jpg)
KENNY BAYLESS NDIYE MWAMUZI WA MPAMBANO KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO
Bayless akiongoza mpambano kati ya Mayweather (kulia) na Maidana wakati wa mpambano wa Septemba 2014. Bayless akimvuta Pacquiao (kushoto) wakati alipovaana na Ricky Hatton mwaka 2009. Manny Pacquiao akijifua kwa mpambano wake dhidi ya Floyd Mayweather Mei 2, mwaka huu. MWAMUZI veterani wa ndondi, Kenny…
10 years ago
VijimamboDJ DULLAH AKARIBISHA MARAFIKI KUANGALIA MPAMBANO WA MAYWEATHER VS PACQUIAO NYUMBANI KWAKE BIRMINGHAM, ALABAMA USA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania