Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WALIOHUDHURIA MPAMBANO WA KARNE KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO

Beyonce na Jay Z wakifuatilia mpambano wa Floyd Mayweather na Manny Pacquiao.
Justin Bieber katika pozi na Floyd Mayweather kabla ya pambano lake dhidi ya Manny Pacquiao leo alfajiri. Bondia wa zamani, Mike Tyson akiwa ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhuria kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

GPL

KENNY BAYLESS NDIYE MWAMUZI WA MPAMBANO KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO

Bayless akiongoza mpambano kati ya Mayweather (kulia) na Maidana wakati wa mpambano wa Septemba 2014. Bayless akimvuta Pacquiao (kushoto) wakati alipovaana na Ricky Hatton mwaka 2009. Manny Pacquiao akijifua kwa mpambano wake dhidi ya Floyd Mayweather Mei 2, mwaka huu. MWAMUZI veterani wa ndondi, Kenny…

 

10 years ago

GPL

PACQUIAO AJICHUA VIKALI KUELEKEA PAMBANO LAKE LA KARNE DHIDI YA MAYWEATHER

Manny Pacquiao akijiandaa na pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather. Maandalizi yakiwa yamepamba moto kwenye gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. BONDIA mahiri kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao ameendelea kujichua vikali katika gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. Pacquiao anajiandaa na pambano lake kali dhidi ya… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ DULLAH AKARIBISHA MARAFIKI KUANGALIA MPAMBANO WA MAYWEATHER VS PACQUIAO NYUMBANI KWAKE BIRMINGHAM, ALABAMA USA.

 DJ Dullah aki BBQ nyumbani kwake baada ya kukaribisha marafiki kuangalia ngumi za Mayweather vs Pacquiao.Kutoka kushoto: Eng. Mhagama, Njovu, na Dj. Dullah wakitayarisha makulaji kabla ya mpambano kati ya Mayweather na Pacquiao.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI









 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhulia kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

Vijimambo

Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.


Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.


Floyd Mayweather
 
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...

 

9 years ago

Bongo5

AFRIMA 2015: Picha za mastaa mbalimbali wa Afrika waliohudhuria

Afrima pic-15

Tuzo za AFRIMA 2015 zilizofanyika Jumapili ya Novemba 15 jijini Lagos, Nigeria zilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa Afrika wakiwemo wasanii waliokuwa wakiwania vipengele mbalimbali.

Afrima pic-15

Kutoka Afrika Kusini ma-rapper wenye ushindani mkubwa Cassper Nyovest na AKA walikuwepo, Kutoka Afrika Mashariki Victoria Kimani, Sauti Sol, Diamond, Vanessa Mdee na Linah pia ni miongoni mwa waliohudhuria.

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa waliohudhuria.

Afrima pic-2

Afrima pic-3

Afrima pic-4

Afrima pic-5

Afrima pic-6

Afrima pic-7

Afrima pic-8

Afrima pic-9

Afrima pic-10

Afrima pic-11

Afrima pic-12

Afrima pic-14

Afrima pic-16

Afrima pic-17

Afrima pic-18

Afrima pic-19

Afrima pic-20

Photo Credit: Instagram & Twitter –...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao na Mayweather kuzichapa?

Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather na Pacquiao wakosolewa

Mabondia mashuhuri wa zamani wa Kenya, Steve Muchoki na Muhammad Abdallah Kent, wamewakosoa Floyd Mayweather na Manny Paqcuiao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani