Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DJ DULLAH AKARIBISHA MARAFIKI KUANGALIA MPAMBANO WA MAYWEATHER VS PACQUIAO NYUMBANI KWAKE BIRMINGHAM, ALABAMA USA.

 DJ Dullah aki BBQ nyumbani kwake baada ya kukaribisha marafiki kuangalia ngumi za Mayweather vs Pacquiao.Kutoka kushoto: Eng. Mhagama, Njovu, na Dj. Dullah wakitayarisha makulaji kabla ya mpambano kati ya Mayweather na Pacquiao.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI









Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DULLAH MSANGI AWAALIKA MARAFIKI KWENYE BBQ, HOOVER, ALABAMA.

 DJ Dullah Msangi aki-BBQ nyumbani kwake Hoover, Alabama. BBQ hiyo iliandaliwa kuadhimisha pasaka pamoja na kukaribisha baadhi ya ndugu kutoka Tanzania. Kutoka kushoto: Dullah, Victor, wakizungumza na Mama Mtui. Rafiki wa Dullah Msangi wakipata mlo aliowaandalia nyumbani kwake. Kutoka kushoto: Gerald, Awwal, na Victor. Wageni waalikwa wakifurahia mjumuiko wa chakula cha jioni nyumbani kwa Dullah Msangi. Kutoka kushoto ni Mtoto Caren, Mama Mtui, na bi harusi mtarajiwa Suzan, ambaye ni mchumba...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WALIOHUDHURIA MPAMBANO WA KARNE KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO

Beyonce na Jay Z wakifuatilia mpambano wa Floyd Mayweather na Manny Pacquiao.
Justin Bieber katika pozi na Floyd Mayweather kabla ya pambano lake dhidi ya Manny Pacquiao leo alfajiri. Bondia wa zamani, Mike Tyson akiwa ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani.…

 

10 years ago

GPL

KENNY BAYLESS NDIYE MWAMUZI WA MPAMBANO KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO

Bayless akiongoza mpambano kati ya Mayweather (kulia) na Maidana wakati wa mpambano wa Septemba 2014. Bayless akimvuta Pacquiao (kushoto) wakati alipovaana na Ricky Hatton mwaka 2009. Manny Pacquiao akijifua kwa mpambano wake dhidi ya Floyd Mayweather Mei 2, mwaka huu. MWAMUZI veterani wa ndondi, Kenny…

 

10 years ago

Vijimambo

Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.


Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.


Floyd Mayweather
 
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA HARUSI YA SUZAN NA OSWALD BIRMINGHAM, ALABAMA

Kutoka kushoto ni Oswald, Mhagama, DJ Luke, Suzan wakiwa katika picha ya pamoja nyumbani kwa Suzan na Oswald kwenye kikao chao cha harusi kilichofanyika Jumamosi March 7, 2015 mji wa Birmingham, Alabama. Kikao kilihudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wa Suzan na Oswald harusi itakayofanyika April 7, 2015 hapohapo Birmingham, Alabama.Bi harusi mtarajiwa akianza kulizoea jiko taratibu kwa kuwapikia wageni waliokuja kwenye kikao mahanjumatiDeus Joseph, mwenyekiti akiendesha kikao cha harusi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA BIRMINGHAM, ALABAMA NCHINI MAREKANI


Vikwangua anga jiji la Birmingham jimbo la Alabama nchini Marekani.


 

10 years ago

Vijimambo

OAK MOUNTAIN STATE PARK, BIRMINGHAM, ALABAMA MOJA KATI YA PARKS ZINAZOVUTIA NCHINI MAREKANI.

 Kutoka kushoto, DJ Luke, Faustina na Dullah wakiwa katika picha ya pamoja baada ya DJ Luke na Dullah kukutana na Faustina akiwa mazoezini kwenye Oak Mountain State Park iliyopo mji wa Birmingham, Alabama. Moja kati ya parks inayovutia nchini Marekani ambayo pia ina kiingilio cha dola 3 kwa kichwa yenye sehemu ya mabwawa ya kuvulia samaki, kuogelea, kucheza gofu, sehemu za kukimbilia, kuendesha baiskeli, na nyumba za kambi za kukodisha kwa ajili ya mapumziko. Pia kuna sehemu za kujifunzia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather na Pacquiao wakosolewa

Mabondia mashuhuri wa zamani wa Kenya, Steve Muchoki na Muhammad Abdallah Kent, wamewakosoa Floyd Mayweather na Manny Paqcuiao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani