Pacquiao na Mayweather kuzichapa?
Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mayweather akubali kuzichapa na Pacquiao
Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas Mei 2
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
Pambano lililosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao hatimaye limethibitishwa rasmi kuwa litafanyika May 2 baada ya kipindi kirefu cha mazungumzo kati yao. Mafahari hao watazichapa kwenye ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas ambapo mgawano wa mapato utakuwa ni 60-40. Mayweather atachukua fedha nyingi zaidi. Makubaliano yaliyofikiwa ni pamoja na wote […]
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mayweather kuzichapa na Andre Berto
Bingwa wa ndondi katika uzani wa Welter duniani Floyd Mayweather amesisitiza kuwa pigano lake kati yake na bingwa katika uzani huo Andre Berto litamwezesha kufikia rekodi iliowekwa na Rocky Marciano ya mapigano 49 bila kushindwa.
10 years ago
Bongo513 Sep
Mayweather na Maidana kuzichapa tena leo
Floyd Mayweather Jr. na bondia wa Argentina, Marcos Maidana wanazichapa tena leo jijini Las Vegas. Wawili hao walizichapa kwa mara ya kwanza May 4, na Mayweather kushinda kwa pointi. Mayweather atakuwa akitetea mikanda yake ya World Boxing Association na World Boxing Council. Mechi hiyo ya raundi 12 itapigwa kwenye ukumbi wa MGM Grand Garden Arena […]
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mayweather na Pacquiao wakosolewa
Mabondia mashuhuri wa zamani wa Kenya, Steve Muchoki na Muhammad Abdallah Kent, wamewakosoa Floyd Mayweather na Manny Paqcuiao
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-asfP2WUdhPI/VUW36WVb79I/AAAAAAAHU-M/4QiNP1ZZPmA/s72-c/28426F1200000578-3065798-Mayweather_is_now_unbeaten_in_48_fights_after_producing_a_boxing-m-69_1430630041344.jpg)
jinsi Mayweather alivyomshinda Pacquiao
![](http://1.bp.blogspot.com/-asfP2WUdhPI/VUW36WVb79I/AAAAAAAHU-M/4QiNP1ZZPmA/s1600/28426F1200000578-3065798-Mayweather_is_now_unbeaten_in_48_fights_after_producing_a_boxing-m-69_1430630041344.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Pacquiao atamba kumchakaza Mayweather
Manny Pacquiao ametamba kumchakaza mpinzani wake kwenye mpambano utakaofanyika tarehe mbili mwezi ujao
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Mayweather Vs Pacquiao:Nani bingwa?
Mayweather atarajiwa kupokea zaidi ya dolla millioni $150m na Pacquiao kama millioni $100m.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania