Mayweather na Maidana kuzichapa tena leo
Floyd Mayweather Jr. na bondia wa Argentina, Marcos Maidana wanazichapa tena leo jijini Las Vegas. Wawili hao walizichapa kwa mara ya kwanza May 4, na Mayweather kushinda kwa pointi. Mayweather atakuwa akitetea mikanda yake ya World Boxing Association na World Boxing Council. Mechi hiyo ya raundi 12 itapigwa kwenye ukumbi wa MGM Grand Garden Arena […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiYILytt7dX58ViNwOmx8Mg73NGLYo5SW4KIsXScGgH8TqHsJb5t5J*r8n*nODOtE*bvCDfZyxIFY5TWOjzlm7Fk/1.jpg?width=650)
MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA
10 years ago
GPL15 Sep
11 years ago
GPL05 May
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Pacquiao na Mayweather kuzichapa?
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mayweather akubali kuzichapa na Pacquiao
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mayweather kuzichapa na Andre Berto
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Julius Kisarawe kuzichapa na Moro Best leo
BONDIA Julius Kisarawe anatarajiwa kupanda ulingoni katika Ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam leo, kuzichapa na Hassan Kiwale ‘Moro Best’. Kwa mujibu wa muandaaji wa mnyukano huo,...