Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mayweather na Maidana kuzichapa tena leo

Floyd Mayweather Jr. na bondia wa Argentina, Marcos Maidana wanazichapa tena leo jijini Las Vegas. Wawili hao walizichapa kwa mara ya kwanza May 4, na Mayweather kushinda kwa pointi. Mayweather atakuwa akitetea mikanda yake ya World Boxing Association na World Boxing Council. Mechi hiyo ya raundi 12 itapigwa kwenye ukumbi wa MGM Grand Garden Arena […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA

Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana. Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao na Mayweather kuzichapa?

Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather akubali kuzichapa na Pacquiao

Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas Mei 2

 

9 years ago

BBCSwahili

Mayweather kuzichapa na Andre Berto

Bingwa wa ndondi katika uzani wa Welter duniani Floyd Mayweather amesisitiza kuwa pigano lake kati yake na bingwa katika uzani huo Andre Berto litamwezesha kufikia rekodi iliowekwa na Rocky Marciano ya mapigano 49 bila kushindwa.

 

10 years ago

Bongo5

Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2

Pambano lililosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao hatimaye limethibitishwa rasmi kuwa litafanyika May 2 baada ya kipindi kirefu cha mazungumzo kati yao. Mafahari hao watazichapa kwenye ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas ambapo mgawano wa mapato utakuwa ni 60-40. Mayweather atachukua fedha nyingi zaidi. Makubaliano yaliyofikiwa ni pamoja na wote […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julius Kisarawe kuzichapa na Moro Best leo

BONDIA Julius Kisarawe anatarajiwa kupanda ulingoni katika Ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam leo, kuzichapa na Hassan Kiwale ‘Moro Best’. Kwa mujibu wa muandaaji wa mnyukano huo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani