Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA

Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana. Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mayweather na Maidana kuzichapa tena leo

Floyd Mayweather Jr. na bondia wa Argentina, Marcos Maidana wanazichapa tena leo jijini Las Vegas. Wawili hao walizichapa kwa mara ya kwanza May 4, na Mayweather kushinda kwa pointi. Mayweather atakuwa akitetea mikanda yake ya World Boxing Association na World Boxing Council. Mechi hiyo ya raundi 12 itapigwa kwenye ukumbi wa MGM Grand Garden Arena […]

 

10 years ago

GPL

FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI

Floyd Mayweather akipozi na mikanda yake baada ya kumchapa Manny Pacquiao kwa pointi. Mabondia hao wakitupiana masumbwi wakati wa mpambano huo. BONDIA wa Marekani, Floyd Mayweather amemchapa mpinzani wake raia wa Ufilipino, Manny Pacquiao kwa pointi katika mpambano wao wa karne uliopigwa Ukumbi wa GMG Grand jijini Las Vegas leo…

 

9 years ago

BBCSwahili

Nadal amchapa Murray

Mchezaji namba tano kwa ubora wa mchezo wa tenesi kwa upande wa wanaume Rafael Nadal,amemshinda muingereza Andry Murray.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kimbele amchapa Kisarawe

BONDIA Ramadhani Kimbele wa jijini Dar es Salaam, Jumatano iliyopita alitwaa ubingwa wa Shirikisho la Masumbwi ya Kulipwa Tanzania (TPBC), baada ya kumshinda Julius Kisarawe katika pambano la raundi 10...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malecela ‘amchapa’ Lowassa

MALUMBANO na vijembe vinavyotokana na ‘figisufigisu’ za urais ndani ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa yameingia katika hatua mpya baada ya mkongwe wa siasa nchini, John Malecela, kumtolea uvivu Mbunge...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiriosi amchapa Alexander -Tenisi.

Nyota wa mchezo wa tenesi wa Austalia Nick Kyrgios jana alibuka na ushindi dhidi ya Mjerumani Alexander Zverev.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu amchapa Jaji Werema

MNADHIMU  wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu, amemvaa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, (AG), Jaji Fedrick Werema kuwa  ameliingiza hasara taifa kwa kushindwa kuzuia  wizi wa fedha zaidi y ash bilioni 300, zilizohifadhiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani