Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malecela ‘amchapa’ Lowassa

MALUMBANO na vijembe vinavyotokana na ‘figisufigisu’ za urais ndani ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa yameingia katika hatua mpya baada ya mkongwe wa siasa nchini, John Malecela, kumtolea uvivu Mbunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Urais 2015: Malecela amtolea uvivu Lowassa

>Vita ya urais kupitia CCM inazidi kushika kasi baada ya Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, John Malecela kuutaka uongozi kumchukulia hatua Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kuanza mapema kampeni.

 

10 years ago

Vijimambo

Mwinyi, Mkapa kuwajadili wakina Membe, Lowassa.Waitwa pia Malecela, Karume, Dk. Salmin, Msekwa athibitisha kuandaa kikao.

Pius Msekwa.
Wakati joto la kusaka nafasi ya kuteuliwa kuwania urais kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiwa linazidi kupanda, Baraza la Ushauri wa Wazee linajipanga kukutana baada ya kikao kilichokuwa kifanyike leo kuahirishwa.

Katibu wa Baraza hilo, Pius Msekwa, aliiambia NIPASHE jana kuwa kikao cha leo kimeahirishwa kutokana na baadhi ya viongozi wakuu wa chama kuwa safarini, kwani walikuwa wamewaalika kwenye mkutano wao uliokuwa ufanyike jijini Dar es Salaam.

Kikao hicho ni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nadal amchapa Murray

Mchezaji namba tano kwa ubora wa mchezo wa tenesi kwa upande wa wanaume Rafael Nadal,amemshinda muingereza Andry Murray.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kimbele amchapa Kisarawe

BONDIA Ramadhani Kimbele wa jijini Dar es Salaam, Jumatano iliyopita alitwaa ubingwa wa Shirikisho la Masumbwi ya Kulipwa Tanzania (TPBC), baada ya kumshinda Julius Kisarawe katika pambano la raundi 10...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiriosi amchapa Alexander -Tenisi.

Nyota wa mchezo wa tenesi wa Austalia Nick Kyrgios jana alibuka na ushindi dhidi ya Mjerumani Alexander Zverev.

 

10 years ago

GPL

MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA

Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana. Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu amchapa Jaji Werema

MNADHIMU  wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu, amemvaa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, (AG), Jaji Fedrick Werema kuwa  ameliingiza hasara taifa kwa kushindwa kuzuia  wizi wa fedha zaidi y ash bilioni 300, zilizohifadhiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Amir Khan amchapa Alexander Devon

Bondia wa Uingereza Amir Khan ametetea taji lake kwa wingi wa pointi dhidi ya bondia raia wa Marekani Devon Alexander

 

9 years ago

BBCSwahili

Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa

Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani