Amir Khan amchapa Alexander Devon
Bondia wa Uingereza Amir Khan ametetea taji lake kwa wingi wa pointi dhidi ya bondia raia wa Marekani Devon Alexander
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Kiriosi amchapa Alexander -Tenisi.
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Bondia Amir Khan kuelekea Pakistan
10 years ago
Mtanzania05 May
Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...
10 years ago
Bongo518 Dec
Mayweather: Hakuna anayemjua Amir Khan, namtaka Pacquiao
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Rais Kikwete amkabidhi H.H. The Aga Khan hati ya chuo kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki na Kiongozi wa madhehebu ya Ismailia duniani Mtukufu Aga Khana tayari kwa kumkabidhi hati ya Chuo Kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar es salaam leo February 23, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Kiongozi wa madhehebu ya Ismailia duniani Mtukufu Aga Khana akiongea baada ya kumkabidhi hati ya Chuo Kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar es salaam leo February 23, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RfMy7mDn8A8/VOstxeM69fI/AAAAAAADakM/pV6uvdlPQT8/s72-c/ag6.jpg)
RAIS KIKWETE AMKABIDHI H.H. THE AGA KHAN HATI YA CHUO KIKUU CHA AGA KHAN KILICHOPO DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-RfMy7mDn8A8/VOstxeM69fI/AAAAAAADakM/pV6uvdlPQT8/s1600/ag6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sJDYZPA_Hcc/VOstdNQtlfI/AAAAAAADaj4/GstZuNjZcBk/s1600/ag2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TvtfdpIH49E/VOstc8lmuMI/AAAAAAADaj0/qssOwvCvtZI/s1600/ag3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Canadian Prime Minister Stephen Harper and Aga Khan Open the Ismaili Centre Toronto and Aga Khan Museum
PM Harper of Canada and HH the Aga Khan waving to crowds outside the Ismaili Centre, Toronto – AKDN / Zahur Ramji).
The Right Honourable Stephen Harper, Prime Minister of Canada, and His Highness the Aga Khan formally opened the Ismaili Centre Toronto and Aga Khan Museum today.
These projects, which are initiatives of the Aga Khan, the 49th hereditary Imam of the Shia Ismaili Muslims and founder and Chairman of the Aga Khan Development Network, are intended to foster knowledge and...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YJ6cf5WIiPJ5MdEXNq7*d06F5-o8iFsjRjk9CHl-S1uAPyDZyD48*KzIH8OCaocrSXXIfDx*FfDPXaprBGI7S8/ag1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMKABIDHI H.H. THE AGA KHAN HATI YA CHUO KIKUU CHA AGA KHAN KILICHOPO DAR ES SALAAM