Mayweather: Hakuna anayemjua Amir Khan, namtaka Pacquiao
Ushindi wa bondia wa Uingereza, Amir Khan Jumamosi iliyopita dhidi ya Devon Alexander ulimfungulia uwezekano wa kupata pambano alilolisubiri kwa muda mrefu na Floyd Mayweather, lakini Mayweather anasema hana mpango wa kuzichapa na Khan kwa sasa, na kwamba anayemtaka ni Manny Pacquiao tu. “Usiku uliopita nadhani alipata watu 4,000, hivyo Amir Khan, jina lake halina […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
10 years ago
Mtanzania05 May
Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Amir Khan amchapa Alexander Devon
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Bondia Amir Khan kuelekea Pakistan
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Pacquiao na Mayweather kuzichapa?
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mayweather na Pacquiao wakosolewa
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Mayweather Vs Pacquiao:Nani bingwa?
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Pacquiao atamba kumchakaza Mayweather
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-asfP2WUdhPI/VUW36WVb79I/AAAAAAAHU-M/4QiNP1ZZPmA/s72-c/28426F1200000578-3065798-Mayweather_is_now_unbeaten_in_48_fights_after_producing_a_boxing-m-69_1430630041344.jpg)
jinsi Mayweather alivyomshinda Pacquiao
![](http://1.bp.blogspot.com/-asfP2WUdhPI/VUW36WVb79I/AAAAAAAHU-M/4QiNP1ZZPmA/s1600/28426F1200000578-3065798-Mayweather_is_now_unbeaten_in_48_fights_after_producing_a_boxing-m-69_1430630041344.jpg)