Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan

Floyd Mayweather Jr., Robert GuerreroLAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao

Pacquiao na KhanLAS VEGAS, MAREKANI

BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.

Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.

Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.

Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...

 

10 years ago

Bongo5

Mayweather: Hakuna anayemjua Amir Khan, namtaka Pacquiao

Ushindi wa bondia wa Uingereza, Amir Khan Jumamosi iliyopita dhidi ya Devon Alexander ulimfungulia uwezekano wa kupata pambano alilolisubiri kwa muda mrefu na Floyd Mayweather, lakini Mayweather anasema hana mpango wa kuzichapa na Khan kwa sasa, na kwamba anayemtaka ni Manny Pacquiao tu. “Usiku uliopita nadhani alipata watu 4,000, hivyo Amir Khan, jina lake halina […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Amir Khan amchapa Alexander Devon

Bondia wa Uingereza Amir Khan ametetea taji lake kwa wingi wa pointi dhidi ya bondia raia wa Marekani Devon Alexander

 

10 years ago

BBCSwahili

Bondia Amir Khan kuelekea Pakistan

Bondia wa uingereza Amir Khan atakwenda Pakistan, mwisho wa mwezi kuonyesha ushirikano kwa waathirika wa mauaji ya shule Peshawar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manny Paqcuiao na Mayweather kupigana

Pigano ambalo limesubiriwa kwa miaka linatarajiwa kuanza katika mji wa Las vegas nchini marekani muda mfupi unaokuja,

 

10 years ago

Bongo5

Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye

Bondia Floyd Mayweather amesisitiza kwa mara nyingine kuwa Andre Berto ndiye bondia wa mwisho kupigana naye katika pambano lao la Jumamosi. Mayweather amesema watu wengi wanafikiri tofauti kwamba atapigana tena. Pambano hilo la 49 ndilo litakuwa la mwisho kwake na anataka kushinda kubaki na rekodi yake ya kutopigwa daima katika ngumi za kulipwa. Andre Berto […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Baba Amtaka Rose Ndauka Aolewe!

Baba mzazi wa staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka, Donatus Ndauka anadaiwa kumtaka mwanaye huyo kuangalia uwezekano wa kuingia maisha ya ndoa kwa vile siku zinakatika kama mvua za masika.

Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, baba huyo mwenye makazi yake jijini Tanga alimpigia simu mwanaye mapema wiki hii baada ya kusoma habari kupitia Magazeti pendwa ikimkariri mzazi mwenzake na staa huyo, Malick Bandawe akisema hakuna mwanamke kama Rose.

Malick alisema licha ya kumwagana na Rose mwaka jana, lakini...

 

10 years ago

GPL

BABA WA MAYWEATHER AMKEJELI PACQUIAO NA SHAIRI LA USHINDI

Floyd Mayweather katika pozi na baba yake mzazi. BABA wa bondia Floyd Mayweather ameamua naye kumrushia ‘makonde’ Pacquiao, lakini kwa njia ya mashairi ambapo amesema ameshindwa kwa vile mwalimu wake wa ndondi hajui lolote. Floyd Sr, ambaye ndiye baba yake Mayweather, amekuwa akipitisha muda wake kutunga mashairi, na amekuwa akifanya jitihada za kutoa kitabu kuhusu umahiri wake huo. Vipande vya mashairi alivyovitoa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wananiita Shahrukh Khan wa Afrika Mashariki- Baba Haji

MWIGIZAJI bingwa wa filamu za kimahaba Bongo Haji Adam ‘Baba Haji’ amefunguka na kutamba kuwa moja ya sababu kubwa ya kuambiwa ni Shahrukh Khan wa Afrika ya Mashariki ni kutokana na kumudu kuigiza filamu za mahaba kwa hisia kubwa na kuwagusa watazamaji hasa anapoigiza kulilia mapenzi kutoka kwa mwanadada.

“Unajua kuwa wasanii wengi ujiita majina mengi wao wenyewe lakini mimi naitwa Shahrukh Khan na wapenzi wangu wa filamu, nilipokuwa Iringa ndio niligundua jina hilo kila mpenzi wa sinema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani