Manny Paqcuiao na Mayweather kupigana
Pigano ambalo limesubiriwa kwa miaka linatarajiwa kuanza katika mji wa Las vegas nchini marekani muda mfupi unaokuja,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
10 years ago
Vijimambo03 May
FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+jJ81WrLMzsml.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+46wSWXF9nTil.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+LLKkIfGhW6Cl.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgivnrD0QJRsy2lWHGR-8KZR-GjAzc2F7MFiPwqERxg0jsiEdaVb1ELMJbliVZpcvXoAfRiPfGADr*Hzs4hnffo/1.jpg?width=650)
FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI
10 years ago
Mtanzania05 May
Baba amtaka Mayweather kupigana na Amir Khan
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia Floyd Mayweather kuchukua ubingwa wa pambano la masumbwi dhidi ya Manny Pacquiao Mei 3 mwaka huu, baba wa bondia huyo amemtaka mwanawe kupigana na Amir Khan katika pambano lake la mwisho.
Mayweather amesisitiza kuwa Septemba mwaka huu anatarajia kustaafu ngumi, hivyo anahitaji pambano moja la mwisho ili kuweza kuachana na mchezo huo, ambapo baba yake anaona bora mwanawe apigane na Amir Khan.
Baba wa Mayweather anaamini kuwa Amir Khan hana uwezo mkubwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E9K0A6EWRpk/VUW2Eg6hQVI/AAAAAAAHU-A/a5L841rZj4k/s72-c/_82735549_may_celebrate_reuters.jpg)
Floyd Mayweather amdunda Manny Pacquiao kwa pointi kibao
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_mwHxhZf4Vw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o6c0OZZxJMo/VT-nVEUK6SI/AAAAAAAAAVA/Hl_UpYAbXWo/s72-c/2817F08A00000578-3058354-image-a-7_1430210962109.jpg)
MANNY PACQUIAO AWASILI LAS VEGAS TAYARI KUPAMBANA NA FLOYD MAYWEATHER
![](http://1.bp.blogspot.com/-o6c0OZZxJMo/VT-nVEUK6SI/AAAAAAAAAVA/Hl_UpYAbXWo/s1600/2817F08A00000578-3058354-image-a-7_1430210962109.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1d8F685CDiQ/VT-nYV5oweI/AAAAAAAAAVo/LLxmcXo7o8A/s1600/28132F7700000578-3058354-image-a-33_1430181129492.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-93yX71TAkJE/VT-nQAk5K2I/AAAAAAAAAUI/G0HljYJkhvE/s1600/28132EDB00000578-3058354-A_tour_bus_carrying_guests_and_members_of_Pacquiao_s_training_ca-a-21_1430179807907.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z0WlVbb4dE8/VT-nUOoJrUI/AAAAAAAAAU8/TJbet4oI4sc/s1600/2816778500000578-3058354-image-a-4_1430201822110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 May
Wababe wa dunia:Floyd Mayweather amshinda Manny Pacquiao kwa pointi 6
Masumbwi ‘Mawe’ yalivyokuwa kwenye pambano hilo
Las Vegas, USA
Tayari Dunia imeshamtambua mbabe zaidi Duniani katika masumbwi ni nani, baada ya pambano la karne ambalo lilipewa ‘kiki’ kubwa duniani kote hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwa mabondia hapo kupambana mpaka raound 12, ambapo Mmarekani Floyd Mayweather aliibuka kuwa mshindi kwa pointi dhidi ya mshindani wake huyo kutoka Uphilipino. kwa mujibu wa majaji,Floyd alipata pointi 117 na Pacquiao kupata 111.
Msimamo wa...