Floyd Mayweather amdunda Manny Pacquiao kwa pointi kibao
![](http://3.bp.blogspot.com/-E9K0A6EWRpk/VUW2Eg6hQVI/AAAAAAAHU-A/a5L841rZj4k/s72-c/_82735549_may_celebrate_reuters.jpg)
Na Sultani KipingoFloyd Mayweather ameibuka mshindi katika pambano la karne baada ya kumdunda Manny Pacquiao kwa pointi nyingi alfajiri ya leo huko Las Vegas, Marekani. Mmarekani Mayweather, 38, ametumia mbinu za hali ya juu za kujihami dhidi ya mpinzani wake Mfilipino, akifanya marekebisho muhimu kwenye raundi za awali kabla ya kupotea ulingoni. Mayweather, ambaye ameongeza taji la WBO la uzito wa welterweight juu ya mataji ya WBC na WBA aliyonayo, alipewa ushindi kwa majaji watatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgivnrD0QJRsy2lWHGR-8KZR-GjAzc2F7MFiPwqERxg0jsiEdaVb1ELMJbliVZpcvXoAfRiPfGADr*Hzs4hnffo/1.jpg?width=650)
FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI
10 years ago
Dewji Blog03 May
Wababe wa dunia:Floyd Mayweather amshinda Manny Pacquiao kwa pointi 6
Masumbwi ‘Mawe’ yalivyokuwa kwenye pambano hilo
Las Vegas, USA
Tayari Dunia imeshamtambua mbabe zaidi Duniani katika masumbwi ni nani, baada ya pambano la karne ambalo lilipewa ‘kiki’ kubwa duniani kote hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwa mabondia hapo kupambana mpaka raound 12, ambapo Mmarekani Floyd Mayweather aliibuka kuwa mshindi kwa pointi dhidi ya mshindani wake huyo kutoka Uphilipino. kwa mujibu wa majaji,Floyd alipata pointi 117 na Pacquiao kupata 111.
Msimamo wa...
10 years ago
Vijimambo03 May
FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+jJ81WrLMzsml.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+46wSWXF9nTil.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+LLKkIfGhW6Cl.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OIQ5EZ1QOJmOBU51voeowun8a0J9cIxzsMfnotSsSSAQxHKIj1LmynlpevWvt-vqAMzGSGJhb1jDG6K-0msPlk/1.jpg?width=650)
MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA KIHISTORIA DHIDI YA FLOYD MAYWEATHER
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s72-c/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s640/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o6c0OZZxJMo/VT-nVEUK6SI/AAAAAAAAAVA/Hl_UpYAbXWo/s72-c/2817F08A00000578-3058354-image-a-7_1430210962109.jpg)
MANNY PACQUIAO AWASILI LAS VEGAS TAYARI KUPAMBANA NA FLOYD MAYWEATHER
![](http://1.bp.blogspot.com/-o6c0OZZxJMo/VT-nVEUK6SI/AAAAAAAAAVA/Hl_UpYAbXWo/s1600/2817F08A00000578-3058354-image-a-7_1430210962109.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1d8F685CDiQ/VT-nYV5oweI/AAAAAAAAAVo/LLxmcXo7o8A/s1600/28132F7700000578-3058354-image-a-33_1430181129492.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-93yX71TAkJE/VT-nQAk5K2I/AAAAAAAAAUI/G0HljYJkhvE/s1600/28132EDB00000578-3058354-A_tour_bus_carrying_guests_and_members_of_Pacquiao_s_training_ca-a-21_1430179807907.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z0WlVbb4dE8/VT-nUOoJrUI/AAAAAAAAAU8/TJbet4oI4sc/s1600/2816778500000578-3058354-image-a-4_1430201822110.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_mwHxhZf4Vw/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s72-c/untitled.png)
Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.
Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s1600/untitled.png)
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...