Urais 2015: Malecela amtolea uvivu Lowassa
>Vita ya urais kupitia CCM inazidi kushika kasi baada ya Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, John Malecela kuutaka uongozi kumchukulia hatua Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kuanza mapema kampeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jan
CCM yamtolea uvivu Lowassa urais 2015
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Msekwa amtolea uvivu Kingunge
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi
MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda, Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...
10 years ago
Habarileo27 Oct
Shein amtolea uvivu Maalim Seif
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameelezea kushangazwa na tabia ya vyama vya upinzani kususia mchakato wa Katiba wakati ndio waliokuwa mstari wa mbele kulilia uwepo wa Katiba mpya. Aidha, ameelezea kushangazwa na msimamo wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuikataa Katiba Inayopendekezwa, ilhali mambo anayoyalilia yamo katika katiba hiyo.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mnyika amtolea uvivu Prof Muhongo
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s72-c/lipumba.jpg)
Makame amtolea uvivu Prof. Lipumba
Na Mwandishi Wetu, Pemba
CHAMA cha Allience for Democratic Change (ADC), kimemtaka Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, asiishie kudai kuvunjwa mkono na polisi, badala yake akiri kuwa alijiunga na chama hicho kwa lengo kutafuta madaraka na njia ya kuingia Ikulu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s1600/lipumba.jpg)
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Uenezi na Habari wa ADC, Ali Makame,...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/magufuli1-1024x671.jpg)
MAGUFULI AMBURUZA LOWASSA URAIS 2015
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Malecela ‘amchapa’ Lowassa
MALUMBANO na vijembe vinavyotokana na ‘figisufigisu’ za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa yameingia katika hatua mpya baada ya mkongwe wa siasa nchini, John Malecela, kumtolea uvivu Mbunge...