Shein amtolea uvivu Maalim Seif
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameelezea kushangazwa na tabia ya vyama vya upinzani kususia mchakato wa Katiba wakati ndio waliokuwa mstari wa mbele kulilia uwepo wa Katiba mpya. Aidha, ameelezea kushangazwa na msimamo wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuikataa Katiba Inayopendekezwa, ilhali mambo anayoyalilia yamo katika katiba hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Msekwa amtolea uvivu Kingunge
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi
MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda, Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s72-c/lipumba.jpg)
Makame amtolea uvivu Prof. Lipumba
Na Mwandishi Wetu, Pemba
CHAMA cha Allience for Democratic Change (ADC), kimemtaka Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, asiishie kudai kuvunjwa mkono na polisi, badala yake akiri kuwa alijiunga na chama hicho kwa lengo kutafuta madaraka na njia ya kuingia Ikulu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s1600/lipumba.jpg)
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Uenezi na Habari wa ADC, Ali Makame,...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mnyika amtolea uvivu Prof Muhongo
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Urais 2015: Malecela amtolea uvivu Lowassa
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maalim Seif awavaa JK, Dk. Shein
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Rais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein wasikubali kudanganywa na vigogo waliosimamia Bunge Maalum la Katiba (BMK)....
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.